Yanga mtapewa "Ladies Free" mpaka lini?

Yanga mtapewa "Ladies Free" mpaka lini?

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,025
Reaction score
134,236
simbasctanzania_41f8bedb06404f25a8f249e29cd29ee5.jpg


Vijana wangu wameniambia kwamba Yanga wamelipiwa. Nafikiri wamelipiwa na mwarabu GSM. Hili swala litaendelea mpaka lini, hamuoni aibu watu wazima kulipiwa na mwarabu. Sasa inatofauti gani na ladies free?!

Kwa sisi Simba viingilia ni kama inavyoonekana
 
UTO kwa vitu vya bure hawajambo.

Hawa ndio kwenye kampeni wanawahi kofia,kanga,baiskel na pikipiki za bure.
 
Wameshazoea vya bure hao kuwasema ni kuwaonea tu
 
Back
Top Bottom