cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,362
- 7,683
Kwa yaliyotolewa na mwenyekiti wa klabu ya Yanga,aisee inasikitisha,boat inaendelea kuzama
Hali ya kipesa ni mbaya zaidi kwenye klabu hii ya wananchi
Madeni zaidi ya bilioni 2 ni hatari hata kama ni mwekezaji ataogopa madeni ya Yanga
Tunaomba uongozi wa Yanga urudishe bakuli kwa wananchi kuokoa jahazi
Tarehe 4 January nitasafuri nje ya nchi kwa wiki
Hali ya kipesa ni mbaya zaidi kwenye klabu hii ya wananchi
Madeni zaidi ya bilioni 2 ni hatari hata kama ni mwekezaji ataogopa madeni ya Yanga
Tunaomba uongozi wa Yanga urudishe bakuli kwa wananchi kuokoa jahazi
Tarehe 4 January nitasafuri nje ya nchi kwa wiki