Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 597
- 1,278
Timu ya Yanga baada yakugomea muda wa mechi na hatimaye kuagirishwa Simba imenufaika kuahirishwa kwa mechi hiyo.
Kwani mpaka kuja kukutana na Yanga tena Simba itakuwa imeshapunguza idadi ya match na hivyo kupelekea kucheza bila presha yeyote.
Endapo Yanga ingekubali kucheza leo na kufanikiwa kuifunga Simba ingeweza kupunguza gap la point na kuwapa Simba wakati mgumu kwani watakuwa wapo kwenye mashindano ya caf na hapo hapo inatakiwa washinde mechi zao za ligi.
Kwani mpaka kuja kukutana na Yanga tena Simba itakuwa imeshapunguza idadi ya match na hivyo kupelekea kucheza bila presha yeyote.
Endapo Yanga ingekubali kucheza leo na kufanikiwa kuifunga Simba ingeweza kupunguza gap la point na kuwapa Simba wakati mgumu kwani watakuwa wapo kwenye mashindano ya caf na hapo hapo inatakiwa washinde mechi zao za ligi.