Yanga kushney, kwaheri Tom!

Yanga kushney, kwaheri Tom!

Nyie ndiyo mnaropoka ropoka tu kisa mmenunua kimechi cha jana subirini dozi yenu tarehe 3.10.12

ha!ha!ha! Tukifungwa ni halali.tukishinda tumenunua mechi. Nyie watu hamna dogo.!
 
yanga mnaongea kweli kumfunga JKT mnachonga hvyo,ngoja next mechi sijui mtamfukuza nani?
 
Mkirua, kumfukuza kocha haikuwa busara. Tujifunze kwa wenzetu, utakuta timu inafungwa 6 kwa 1 au nil kabisa lakini kocha anajipanga na next time unaona timu inafanya vizuri tu. Ila kinachowasumbua Yanga ni lile athiriko la kisaikolojia kwamba wao ni timu kubwa na hawawezi kufungwa na timu kama hiyo ya wakata miwa.

Kwa mfano shabiki wa kweli hawezi kuihama timu yake eti kwa kuwa imefungwa au imeshuka daraja...mfano mzuri ni mimi mwenyewe, mimi ni shabiki wa Bolton Wanderes na msimu huu tumeshuka daraja (sufferance of relegation)ila bado naipenda timu yangu na wala siwezi kuitema. Kwa hapa South mimi ni shabiki wa maharamia wa orlando (Orlando Pirates, tuko mbali sana kimsimamo katika ligi ya hapa Premier Soccer League, nafasi ya kumi na bado siwezi kuihama eti kwa sababu juzi tulilizwa na madogo janja.

Sasa kwa soka ya TZA ni kwamba ushabiki uko katika timu mbili tu, Simba na Yanga.
 
Mimi nikajua umekuja na ushahidi wa Okwi akimpiga mchezaji wa RUVU JKT kumbe unaendeleza porojo tu....

Dah we dogo kweli mkare......Maana unapenda ligi sijapata kuona...


 
Last edited by a moderator:
yanga mnaongea kweli kumfunga JKT mnachonga hvyo,ngoja next mechi sijui mtamfukuza nani?

In theory, Simba inapaswa kuwa ni club kubwa lakini unfortunately ina "small club" mentality kwa thinking ya aina ya watu kama ninyi na yule mwenyekiti wenu mwongo.

Yanga has got a "big club" mentality...just like Barca, Real Madrid, Liverpool, Arsenal, Man U, etc ambazo haziwezi kukubaliana na trend ya kupoteza pointi mfululizo. Never! Lazima coach a-rectify situation haraka kabla hatua kali dhidi yake hazichukuliwa.

Sijui kama mnajua kuwa mwenyekiti wenu ni mtoto wa kijiweni pale Saigoni (Kariakoo)..sasa kaona majority ya fans wa Simba (ukiachia Waarabu na Wahindi) wanatoka bush (watindiga).
Sasa timu ikiyumba kwenye mashindano, mtoto wa Saigon anawaita watindiga wake kwenye kikao anawanunulia chips na soda na kuanza kuwapa ahadi kwa kutumia JK style - TV, uwanja wa bil 70 (?), Twite, Yondani, nk.
Akimaliza mnampigia makofi meengi... masikini msijue kuwa mmepigwa fix za nguvu. Ushamba ni gharama sana!!

Small club mentality ndiyo inawapa aina hii ya viongozi. Tafakarini!!
 
Ushindi wa kununua unajivunia wewe ulitegemea yanga wafungwe baada ya kufukuza Katibu, Msemaji na kocha, nani angetakiwa kuondoka baada ya kufungwa na JKT RUVU...

Huu sasa ushamba.
 
In theory, Simba inapaswa kuwa ni club kubwa lakini unfortunately ina "small club" mentality kwa thinking ya aina ya watu kama ninyi na yule mwenyekiti wenu mwongo.

Yanga has got a "big club" mentality...just like Barca, Real Madrid, Liverpool, Arsenal, Man U, etc ambazo haziwezi kukubaliana na trend ya kupoteza pointi mfululizo. Never! Lazima coach a-rectify situation haraka kabla hatua kali dhidi yake hazichukuliwa.

Sijui kama mnajua kuwa mwenyekiti wenu ni mtoto wa kijiweni pale Saigoni (Kariakoo)..sasa kaona majority ya fans wa Simba (ukiachia Waarabu na Wahindi) wanatoka bush (watindiga).
Sasa timu ikiyumba kwenye mashindano, mtoto wa Saigon anawaita watindiga wake kwenye kikao anawanunulia chips na soda na kuanza kuwapa ahadi kwa kutumia JK style - TV, uwanja wa bil 70 (?), Twite, Yondani, nk.
Akimaliza mnampigia makofi meengi... masikini msijue kuwa mmepigwa fix za nguvu. Ushamba ni gharama sana!!

Small club mentality ndiyo inawapa aina hii ya viongozi. Tafakarini!!

Nawaonea huruma saa hawa "Watindiga" watapigwa sana na huyu Msomali, mpk siku watakayokuja kushtuka watakuwa wameshachelewa.
 
Kawaida ya Timu kubwa za Tanzania hasa SIMBA na YANGA kinachotakiwa ni ushindi tu si vinginevyo kama wewe huna kumbukumbu nakukumbusha Jamhuri Khiwero, Sam Timbe, Mzambia P.Phiri ni baadhi ya makocha waliokuwa club ya Simba lakini baada ya kutofanya vizuri kwa waajiri wao walitimuliwa na kurudi zao makwao wakiipenda kazi yao hivyo sio jambo la ajabu kwa Club ya Yanga kumfukuza kocha ambaye moja ya kazi yake ilikuwa ni kuiwezesha Yanga kushinda hata kwa timu iliyopanda daraja mwaka jana bahati mbaya inayotukuta wanayanga ni kufungwa na mtani wetu Simba tena kwa magoli ya kuuziwa hilo ndilo kosa kubwa sana ambalo wanayanga hawatalisahau milele. 2 kufukuzwa sio kwa makocha tu hata kiongozi anapofanya vibaya tofauti na matakwa ya wanachama anafukuzwa mfano aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba kabla ya huyo Msomali wenu I.Aden Lage Mzee DALALI alifukuzwa na wana Simba hadi kumfanyia fujo nyumbani kwake Magomeni wakati alikuwa anarekodi nzuri ya kumfunga mtani wake Yanga sasa ngoja zamu ya huyo Msomali uone kitakachotokea tena wewe ndio utakuwa wa kwanza baada ya kipigo.
 

Huu sasa ushamba.

Hivi bado tu ulikuwa hujui hawa jamaa ni washamba kupindukia?
Wee check tu mtoto wa mjini wa maha-Rage anavyowaendesha puta na danadana za kimjinimjini....huyu angekuwa Yanga sidhani kama ange-last hata nusu msimu, kwa hiari au bakora!
 
Mkirua, kumfukuza kocha haikuwa busara. Tujifunze kwa wenzetu, utakuta timu inafungwa 6 kwa 1 au nil kabisa lakini kocha anajipanga na next time unaona timu inafanya vizuri tu. Ila kinachowasumbua Yanga ni lile athiriko la kisaikolojia kwamba wao ni timu kubwa na hawawezi kufungwa na timu kama hiyo ya wakata miwa.

Kwa mfano shabiki wa kweli hawezi kuihama timu yake eti kwa kuwa imefungwa au imeshuka daraja...mfano mzuri ni mimi mwenyewe, mimi ni shabiki wa Bolton Wanderes na msimu huu tumeshuka daraja (sufferance of relegation)ila bado naipenda timu yangu na wala siwezi kuitema. Kwa hapa South mimi ni shabiki wa maharamia wa orlando (Orlando Pirates, tuko mbali sana kimsimamo katika ligi ya hapa Premier Soccer League, nafasi ya kumi na bado siwezi kuihama eti kwa sababu juzi tulilizwa na madogo janja.

Sasa kwa soka ya TZA ni kwamba ushabiki uko katika timu mbili tu, Simba na Yanga.

Sidhani kama kafukuzwa kwa sababu tu kafungwa na mtibwa...ameonesha dharau kwa waajiri wake kila aliposhauriwa kudhibiti nidhanmu ya wachezji. Ameambiwa aweke wachezaji kambini akakataa wakakesha club matokeo yake timu inafungwa na kichapo cha aibu halafu bado anajibu jeuri.
 
soko kutoka kwa yanga, timu ya mashoga kocha kasema ukweli mmemtimua..uliona wapi madume 3 yana lala kitanda kimoja

Mkuu safi sana kwa kutueleza sababu za kufukuzwa kwa kocha wa Yanga, sasa tupe sababu za Simba kumtimua Moses Basena na kushindwa kumlipa hata leo. Nyie vipi? Mambo ya Yanga waachieni wanayanga wenyewe.
 
Back
Top Bottom