Kwahiyo yanga = tom? na unamaanisha bila tom no yanga? How old are you?yanga wamemfukuza kocha Tom, hivi kitendo cha yanga kufungwa 3 na mtibwa ndo mumfukuze kocha?.mbona alivyowapa kagame mlimfurahia sana.haya sasa Manji kaanza na Tom,atafuata twite na yondani ajiandae.
nani kakudanganya na habari zako za kupika?
Kwahiyo yanga = tom? na unamaanisha bila tom no yanga? How old are you?
Karibuni uwanja wa Taifa leo mshuhudie soka la hali ya juu,Yanga itabaki kuwa Yanga tu hata iweje
kwishney
mwalimu wako alipata shida sana kukuelekeza,sijui kama cheti chako cha form 4 kina hata division 4.
yanga daima mbele nyuma mwiko.
una uhakika na unayoandika?
sas tumekukosea nini watutukana? au kosa letu ni kuwa Yanga??kwa yanga hii inayofungwa na umiseta tutapiga wiki..kudadadeki zenu