Asante kwa taarifaWana haki
Sijawahi kuwa Adimu kuna muda nakua busy na shughuli zangu...sio ww 24/7 upo jukwaani 🤣 🐸 🐸Baada ya 5....1 umekua adim jukwwani
Si nganda hilo hata kwenye ukweli halitakiUpuuzi mtupu!
Jionee huruma ww na wafuasi wenzako wala mihogo...presha humpata anaetaka presha impate...Nakuonea huruma na litimu lako la pressure daily
Tunachotaka haki itendeke ninyi mlivyokuwa mnafanya rafu mbona hamjafungiwaTengenezeni ligi yenu ya watemi basi uto bhn
Kuna uwezekano mkubwa hiyo Bodi ya Ligi inafanya shughuli zake kwa maelekezo ya Wallace Karia. Maana hii ni double standard ya wazi kabisa.
Wewe ndiyo unayesema hivyo Yanga walipolalamika kuhusu Inonga kamati ilisema hawezi kupewa adhabu mara kwa maana ya hiyo kadi ya njano kwa nani mkweli wewe madunduka au kamati?Mkuu kadi ya njano moja haijawahi kuwa adhabu kwenye mpira wa miguu, ni onyo
Kwani hukumu imesema kwa kurudia kosa au kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji CoastKosa moja halihalalishi jingine. Kutomfungia wa kwanza lilikuwa kosa pia. Pengine kaadhibiwa kwa kuwa karudia kosa
Sio upuuzi angalia kanuni,aucho alishaadhibiwa na refa,mchezaji akishaadhibiwa ndani ya dk 90,hawezi kufungiwa na kamati yoyoteUpuuzi mtupu!
Kenge maji arudi kwa Somalia tumemchoka hata aibu hana bata wahedMwaka Jana Bangala alichezewa rafu ya red card na mchezaji wa Coast akapewa yellow Wala hakuadhibiwa na kamati why wachezaji wa Yanga wapewe double punishment? Mbumbumbu mwenzenu karia ashike adabu yake mbwa huyo
Aucho apewe busha atulie.....
🤣 🤣 🤣 🤣 😀
Ni tetesi tuu...au hamumtaki?Nasikia mnamsajili ki 😃🖐