kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
umenena MKUU,kwenye pesa ndio issue.hii imekua ni hadithi ya miaka tele
Acha kutuonea wivu na timu yetu. Tumepata wafadhili kutoka Colombia, uwanja utajengwa na mtabaki midomo wazi.
umenena MKUU,kwenye pesa ndio issue.hii imekua ni hadithi ya miaka tele
Hela wanayo au wanategemea mfuko wa manji?
Wewe unafikiri kujenga uwanja wakisasa wa michezo ni sawa sawa na kujenga kioski au vile vibanda vya kufunika maduara ya uchimbaji madini kule nyarugusu na nyaruyeye?Hizi timu mbili kongwe ni za siku nyingi lakini hadi kumlipa kocha kama sio hao wafadhili akina manji na hao nyuki hakuna kitu.Hazina hela yoyote,Kumbuka kuna wakati huyo manji aliamua kuachia ngazi ukata ukazidi migogoro ya kumwaga mpaka wazee wakaenda kumpigia magoti.Acha ushabiki hali halisi unaifahamuUnadhani wanategemea mfuko wa malkia wa nyuki aka mrs LIBOLO?..in short watu wabwabwaji type yako wapo tu siku zote na wataendelea kuwepo hata uwanja utakapo kabidhiwa na wakashuhudia bado wataendelea kubwabwaja tu...vp nasikia malkia wa nyuki anaongoza benchi la ufund kusajil wachezaji, kazi kweli kweli!!!
Wewe unafikiri kujenga uwanja wakisasa wa michezo ni sawa sawa na kujenga kioski au vile vibanda vya kufunika maduara ya uchimbaji madini kule nyarugusu na nyaruyeye?Hizi timu mbili kongwe ni za siku nyingi lakini hadi kumlipa kocha kama sio hao wafadhili akina manji na hao nyuki hakuna kitu.Hazina hela yoyote,Kumbuka kuna wakati huyo manji aliamua kuachia ngazi ukata ukazidi migogoro ya kumwaga mpaka wazee wakaenda kumpigia magoti.Acha ushabiki hali halisi unaifahamu
Changa la macho hilo...?