Manyika Pj
New Member
- Apr 4, 2013
- 2
- 0
Yanga ndio habari ya mujini toa uwanja mikia wazidi kuumia hayo ndiyo maendeleo
Jamani pelekeni nje kidogo ya mji tukizidi kujaza madude mengi hapa City centre itafika mahala itatuwia vigumu watu kuendesha magari kwenye hivi vibarabara, ningali kuwa Serikali siwezi kutoa Building permit kufanya ujenzi wa Uwanja hapa katikati ya mji
Mie ni Yanga damu lakini mpango huo naona kama ni kiini macho cha kutulaghai maana mosi eneo la kujenga uwanja huo hatuna kwani pale jangwani ni eneo dogo na finyu sana; na kwa sababu hiyo ulazima wa kuhamisha wakazi wa eneo la jangwani na bonde la jangwani ni lazima km mradi utatekelezwa. Na uhamishaji na ubomoaji makazi ni gharama za ziada ambazo sioni dalili kwa Yanga kuzimudu. Simba walianza ngonjera kama hizo za 'kujenga uwanja kule Bunju na Yanga tunaleta za Jangwani....Kuifikia Azam Kimaono ya mbali si jambo jepesi hasa kukiwa na viongozi na wanachama wababbaishaji, wachumia tumbo! I stand to be corrected!
Mtasema sana mwaka huuHahahahhaahaha I see watu wanataka kutakatisha fedha haramu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wachina Wamelipima na ARDHI na UDONGO UMEPIMWA Unaonekana Unafaa... Hiyo kampuni Imeujenga SOCCER CITY south Africa; Uwanja wa Taifa - Tusubiri Tuone... Patiency... SIMBA haikuwa na MKANDARASI na MICHORO
Mie ni Yanga damu lakini mpango huo naona kama ni kiini macho cha kutulaghai maana mosi eneo la kujenga uwanja huo hatuna kwani pale jangwani ni eneo dogo na finyu sana; na kwa sababu hiyo ulazima wa kuhamisha wakazi wa eneo la jangwani na bonde la jangwani ni lazima km mradi utatekelezwa. Na uhamishaji na ubomoaji makazi ni gharama za ziada ambazo sioni dalili kwa Yanga kuzimudu. Simba walianza ngonjera kama hizo za 'kujenga uwanja kule Bunju na Yanga tunaleta za Jangwani....Kuifikia Azam Kimaono ya mbali si jambo jepesi hasa kukiwa na viongozi na wanachama wababbaishaji, wachumia tumbo! I stand to be corrected!
40,000 seater stadium..pale kariakoo???ikijengwa ntanunulia vinywaji--iwe vileo au vitamu wajumbe wote watakaokuwa online jf siku iyoo..
Hizo ni ngonjera..hivi unajenga uwanja wa timu..hauna hata supporting facilities kama mini training pitches
za junior teams??always you start with the basics..training facilities for all teams seniors+juniors then unaongea habari izo..barca wana La Masia..its large training complex..Camp Nou ni stadium ya matches +events tuu..Azam pia,chamazi its a complex with more that 3 pitches,classes,gym etc..uwanja una 5000seats.kwani mabwege wale..??team ni structure like a proper high school..una classes,libraries,labaratories,art and music theatres,dining halls,PE piches,assembly ground..then exam rooms
Ni kama kutawaza kabla ya kuingia chooni..??its a joke..izo abracadabra wakaambie wajukuu zao!!
Shhiiiiit,...
Hahahahhaahaha I see watu wanataka kutakatisha fedha haramu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Labda aweke jiwe la msingi. Wakati wa kuufungua atakuwa alishastaafu.
Yanga chekeleeni hiyo michoro lakini pesa hamna. Sasa ndiyo mtamjua manji anavyo wanunua pamoja na asset zenu