Lakini airport ulienda kuwapokea wageni? Isijekuwa unapiga madomo tu hapa wakati hata jukumu lako ulilopangiwa hujatimizaWale wachunga ng'ombe wa mayele wanaaibisha taifa jumapili
Kolo, ulaya ya wapi?Sisi ni next level, mnatuhitaji sisi ili mjulikane kimataifa
We dont need you but you need us
Huko ulaya wanajua east africa kuna timu moja ya mpira, the rest ni vikundi vya wahuni tu
Sevilla ni ya jangwani?Kolo, ulaya ya wapi?
Mkuu , historia inatafutwa kwa nguvu kwamba tuliwahi kuifunga timu ya taifa ya somalia 10 bila majibuSijawahi skia Mechi ya Kirafiki ya Timu ya Taifa Vs Klabu. Kumbe labda mimi bado mchanga kwenye soka, eti Chelsea dhidi ya Timu ya Taifa la Poland