Yanga ina tatizo la kocha, wachezaji au viongozi?

Inawezekana pia lakini siyo sababu ya msingi. Yanga Ina matatizo kwa pande zote kuanzia kwa kocha, wachezaji, uongozi pia, na sisi Wapenzi na washabiki

1. Kocha
Toka kupumzika kwa kocha Mwambusi benchi la ufundi limekuwa likishindwa kuusoma mchezo husika na kupanga kikosi mahususi. Hata ikiwa tayari imeonyeaha kuelemewa, kocha na bench zima wamekuwa si wepesi wa kusoma na kutambua tatizo ili kufanya sub ya maana kwa wakati. Refer mechi dhidi ya Mbeya city, Kagera Sugar, Mtibwa Sugar hata hile ya kirafiki dhidi ya African sports madhaifu ni yake Yale kwa upande wa benchi la ufundi. Kiufundi naliona bench Hili la ufundi likizidiwa kwa mbali na like la papa Zahera Mwinyi.

2. Wachezaji
Kiukweli katika vitu ambavyo vimaiangusha timu Ni haina ya wachezaji tuliokuwa nao Sasa. Yaana ubinifu zero. Ukimtoa Mkoko na Tuisila Hawa wengine walioletwa na Eng. Hersi hawafai hata kuchezea Mbao fc. Lazima tufike mahalo tuambiane ukweli wale tumeletewa Mizigo tu, Ni Mara Mia tungesajili wachezaji wa ndani tu kuliko hii Mizigo. Hebu tumlinganishe Sarpong na Yusuf Mhiru, muangalie huyu Eric Msagati, Kuna huyu mchezaji yuko Gwambina anaitwa Meshaki Abeli na wengine wengi wanawazidi kwa mbali Sana Hawa tunaoaminishwa kuwa Ni mapro. Kiufupi Hawa kina Sarpong nawafananisha na watumishi hewa. Ni kheri tungebaki na Moringa David kuliko Hawa walioletwa kwa mbwebwe.

3. Viongozi Mikakati ya mafanikio ni Zero
Hawa Ni tatizo kubwa, kwa kiasi kikubwa Hawa wamefeli kabisa. Wanakosa Mission na Vision. Hadi Sasa nashindwa kuelewa Ni Yanga ya aina gani wanayoitengeneza na watafanikiwa kuifikia kwa njia zipi na kwa muda gani. Timu yoyote duniani lengo kubwa Ni KUSHINDA vikombe kwa uelewa wangu mdogo, au niseme Ni kutengeneza timu yenye ushindani. Sasa hebu tujiulize Yanga pamoja na kuongoza ligi tuna timu ya kushindana? Kwangu Mimi jibu Ni Hapana. Sasa Kama jibu Ni Hapana uongozi ndiyo umeboresha timu kwa kutuletea wachezaji Kama Fiston, alafu tunadanganyana tutunishe vifua ubingwa Ni wetu mwaka huu? Kwa wachezaji Hawa wa kuokoteza? Kazi viongozi imekuwa ni kulalamika tuuu badala kuangalia tunajikwamua vipi. Anyway labda Mimi peke yangu ndiyo sielewi.

4. Washabiki na Wapenzi
Tuna tatizo la kuhemuka, tunaaminishwa mambo mengine ambayo kiukweli hayawezekani nasi tunakubali. Tuungane kuwaambia ukweli Hawa viongozi ndiyo watabadilika. Tukiendelea hivi kuwapa support wanaona sawa tu, mwishowe mtaikuta timu Hiko nafasi ya kumi huko au inastruggle isishuke daraja. Tafadhari tuwe wamoja katika hili. Wakifanya vizuri tuwape sifa, wakiboranga tuwape ukweli wao.

NB:
Ukweli utaniweka huru. Tatizo kubwa la Yanga ni mfumo wa uendeshaji wa klabu. Tufanye haraka twende kwenye mabadiliko ambayo yatafanya timu kuwa vizuri kiuchumi hivyo kutuwezesha kutengeneza timu bora ya ushindani. Wakati Ni sasa Wala hatujachelewa.

Msimu ujao napendekeza Hawa wachezaji wa kigeni tubaki na wachache tu wenye tija, tusajili wachezaji wa ndani na wenye uwezo, hii iatatusaidia kupunguza gharama za uendeshaji kabla ya mabadiliko wakati Mikakati wa mabadiliko ukiendelea.

Mwisho nasisitiza tuwe na Mikakati ya kuutafuta ushindi, kiufundi ndani na nje ya uwanja. Tusiwe wa kulalamika kutafuta huruma. Tuige kwa wenzetu wanafanyaje, tutafika tu. Samahani uandishi nao Ni kipaji na Ni taaluma pia, inawezekana mipangilio na uandishi wangu siyo mzuri Ila nadhani nimeeleweka.

Yanga daimambele, nyuma mwiko,

Asanteni
Hakika umenena vyema! Timu yetu ilishakua na tatizo la washambuliaji tangu mwanzo wa msimu!

Cha kushangaza wakati wa dirisha dogo, uongozi wakishirikiana na mwalimu Kaze, wakasajiri washambuliaji wao ambao mpaka sasa hawajaonesha faida yoyote ile kwa timu!

Huyu Fiston sijui hata kama anastahili kuongezewa hata mkataba baada ya huo mkataba wa miezi sita aliopewa kumalizika. Kiukweli kiwango chake kimeshuka sana. Saido ndiyo kwanza anaendelea tu kula mafao.
 
Hakika umenena vyema! Timu yetu ilishakua na tatizo la washambuliaji tangu mwanzo wa msimu!

Cha kushangaza wakati wa dirisha dogo, uongozi wakishirikiana na mwalimu Kaze, wakasajiri washambuliaji wao ambao mpaka sasa hawajaonesha faida yoyote ile kwa timu!

Huyu Fiston sijui hata kama anastahili kuongezewa hata mkataba baada ya huo mkataba wa miezi sita aliopewa kumalizika. Kiukweli kiwango chake kimeshuka sana. Saido ndiyo kwanza anaendelea tu kula mafao.
Unasajiri wastaafu halafu unataka ushindi hiyo n ngumu kocha kajaza warundi wenzake ili apige 10% kaze siyo fala anajua kula na mazwazwa
 
Timu haifanyi vizuri, ushindi mwembamba, sare nyingi na sasa imefungwa, tena kiuhalisia ilipaswa iwe imefungwa na kagera sugar pia.

Tatizo la Yanga ni kocha, wachezaji, wafadhili au viongozi wa Yanga?
Yanga 70% ya tatizo ni kocha, kocha ana miez 5+ ila timu haijulikan inacheza mfumo gan na ameshindwa ku improve wachezaji, beki mbovu, kipa matatizo ni yale yale, Tuisila tokea anafika alikuwa na tatizo la mipira ya mwisho mpaka leo bado ana udhaifu huo, kiufupi siyon kitu kocha alichokifanya.
 
Nguvu ndogo ya uwekezaji...kwa modern soccer klabu kama yanga hutakiwi kuwa na watu kama Nchimbi,Niyonzima,Faridi,Zawadi,Kaseke,adeyum,Barama
dawa ni kuongeza viungo na straikers wazuri toka nje
Viwango vya wachezaji wazawa vipo chini mno tanzania
Mfano mzuri ni timu zetu za taifa,shida iko hapo tu Kaze,uongozi wapo vizuri
 
Hata dereva nae ni tatizo
 

Attachments

  • IMG-20210305-WA0040.jpg
    IMG-20210305-WA0040.jpg
    56.3 KB · Views: 1
Timu haifanyi vizuri, ushindi mwembamba, sare nyingi na sasa imefungwa, tena kiuhalisia ilipaswa iwe imefungwa na kagera sugar pia.

Tatizo la Yanga ni kocha, wachezaji, wafadhili au viongozi wa Yanga?
Samaleko
 
Shida ni kwamba mnataka mjifananishe na simba.
Wakati simba mwenzenu kasajili wachezaji wazuri sababu ya hela.
Binafsi yangu simba ikishinda sishtuki.ila wakifungwa uwa najiuliza wamefungwa vipi wakati wana wachezaji wazuri
 
Mpira wa Bongo ukiacha umuhimu wa pesa,kocha mzuri na wachezaji wazuri, kuna swala la fitna.

Siku ukiona Simba kwenye msimamo wa ligi hana dalili ya kubeba ubingwa, kaachwa kwa points nyingi,na mwenye nafasi ya kuchukua ubingwa ni Yanga au Mbeya City.

Alafu mechi ya mwisho iwe Simba na Mbeya City na Mbeya City akishinda anabeba ubingwa, basi Simba watafungwa magoli 10-0 na Thadeo Lwanga akiwemo, Pascal Wawa, Chama akiwemo, yani full mkoko.

Amini nakwambia my frend kuboronga kwa Yanga ni mkono wa Al Ahly ya East Africa.
Uelewa wako ni mdogo sana kuhusu soccer. Kwahiyo hiyo mechi yenu na coastal simba walifanya nini!!?? Waliwaroga miguu na akili!! Mitazamo kama hii ya kijingajinga ndo inafanya soka la bongo libaki gizani, mnashindwa kushughulikia mapungufu yenu mnatafuta mchawi nje!!!! Upumbavu mtupu.
 
Inawezekana pia lakini siyo sababu ya msingi. Yanga Ina matatizo kwa pande zote kuanzia kwa kocha, wachezaji, uongozi pia, na sisi Wapenzi na washabiki

1. Kocha
Toka kupumzika kwa kocha Mwambusi benchi la ufundi limekuwa likishindwa kuusoma mchezo husika na kupanga kikosi mahususi. Hata ikiwa tayari imeonyeaha kuelemewa, kocha na bench zima wamekuwa si wepesi wa kusoma na kutambua tatizo ili kufanya sub ya maana kwa wakati. Refer mechi dhidi ya Mbeya city, Kagera Sugar, Mtibwa Sugar hata hile ya kirafiki dhidi ya African sports madhaifu ni yake Yale kwa upande wa benchi la ufundi. Kiufundi naliona bench Hili la ufundi likizidiwa kwa mbali na like la papa Zahera Mwinyi.

2. Wachezaji
Kiukweli katika vitu ambavyo vimaiangusha timu Ni haina ya wachezaji tuliokuwa nao Sasa. Yaana ubinifu zero. Ukimtoa Mkoko na Tuisila Hawa wengine walioletwa na Eng. Hersi hawafai hata kuchezea Mbao fc. Lazima tufike mahalo tuambiane ukweli wale tumeletewa Mizigo tu, Ni Mara Mia tungesajili wachezaji wa ndani tu kuliko hii Mizigo. Hebu tumlinganishe Sarpong na Yusuf Mhiru, muangalie huyu Eric Msagati, Kuna huyu mchezaji yuko Gwambina anaitwa Meshaki Abeli na wengine wengi wanawazidi kwa mbali Sana Hawa tunaoaminishwa kuwa Ni mapro. Kiufupi Hawa kina Sarpong nawafananisha na watumishi hewa. Ni kheri tungebaki na Moringa David kuliko Hawa walioletwa kwa mbwebwe.

3. Viongozi Mikakati ya mafanikio ni Zero
Hawa Ni tatizo kubwa, kwa kiasi kikubwa Hawa wamefeli kabisa. Wanakosa Mission na Vision. Hadi Sasa nashindwa kuelewa Ni Yanga ya aina gani wanayoitengeneza na watafanikiwa kuifikia kwa njia zipi na kwa muda gani. Timu yoyote duniani lengo kubwa Ni KUSHINDA vikombe kwa uelewa wangu mdogo, au niseme Ni kutengeneza timu yenye ushindani. Sasa hebu tujiulize Yanga pamoja na kuongoza ligi tuna timu ya kushindana? Kwangu Mimi jibu Ni Hapana. Sasa Kama jibu Ni Hapana uongozi ndiyo umeboresha timu kwa kutuletea wachezaji Kama Fiston, alafu tunadanganyana tutunishe vifua ubingwa Ni wetu mwaka huu? Kwa wachezaji Hawa wa kuokoteza? Kazi viongozi imekuwa ni kulalamika tuuu badala kuangalia tunajikwamua vipi. Anyway labda Mimi peke yangu ndiyo sielewi.

4. Washabiki na Wapenzi

Tuna tatizo la kuhemuka, tunaaminishwa mambo mengine ambayo kiukweli hayawezekani nasi tunakubali. Tuungane kuwaambia ukweli Hawa viongozi ndiyo watabadilika. Tukiendelea hivi kuwapa support wanaona sawa tu, mwishowe mtaikuta timu Hiko nafasi ya kumi huko au inastruggle isishuke daraja. Tafadhari tuwe wamoja katika hili. Wakifanya vizuri tuwape sifa, wakiboranga tuwape ukweli wao.

NB:
Ukweli utaniweka huru. Tatizo kubwa la Yanga ni mfumo wa uendeshaji wa klabu. Tufanye haraka twende kwenye mabadiliko ambayo yatafanya timu kuwa vizuri kiuchumi hivyo kutuwezesha kutengeneza timu bora ya ushindani. Wakati Ni sasa Wala hatujachelewa.

Msimu ujao napendekeza Hawa wachezaji wa kigeni tubaki na wachache tu wenye tija, tusajili wachezaji wa ndani na wenye uwezo, hii iatatusaidia kupunguza gharama za uendeshaji kabla ya mabadiliko wakati Mikakati wa mabadiliko ukiendelea.

Mwisho nasisitiza tuwe na Mikakati ya kuutafuta ushindi, kiufundi ndani na nje ya uwanja. Tusiwe wa kulalamika kutafuta huruma. Tuige kwa wenzetu wanafanyaje, tutafika tu. Samahani uandishi nao Ni kipaji na Ni taaluma pia, inawezekana mipangilio na uandishi wangu siyo mzuri Ila nadhani nimeeleweka.

Yanga daimambele, nyuma mwiko,

Asanteni
Natamani mashabiki na wanachama wote wangekuwa wanajitambua kama wewe, mngefika mbali sana.
 
Uelewa wako ni mdogo sana kuhusu soccer. Kwahiyo hiyo mechi yenu na coastal simba walifanya nini!!?? Waliwaroga miguu na akili!! Mitazamo kama hii ya kijingajinga ndo inafanya soka la bongo libaki gizani, mnashindwa kushughulikia mapungufu yenu mnatafuta mchawi nje!!!! Upumbavu mtupu.
Mechi yetu na Coasta tulifungwa kwakuwa timu yetu ni mbovu sana.
Wachezaji wetu wamelegea,kwanza awalipwi mishahara yao.

Hata chakula tu kwa wachezaji ni cha kuungaunga.
Kocha mazoezini anafundisha wachezaji kurusha ngumi na kung fu.

Nisaidieni mashabiki wa Simba,kuamia Simba shilingi ngapi?
 
Inawezekana pia lakini siyo sababu ya msingi. Yanga Ina matatizo kwa pande zote kuanzia kwa kocha, wachezaji, uongozi pia, na sisi Wapenzi na washabiki

1. Kocha
Toka kupumzika kwa kocha Mwambusi benchi la ufundi limekuwa likishindwa kuusoma mchezo husika na kupanga kikosi mahususi. Hata ikiwa tayari imeonyeaha kuelemewa, kocha na bench zima wamekuwa si wepesi wa kusoma na kutambua tatizo ili kufanya sub ya maana kwa wakati. Refer mechi dhidi ya Mbeya city, Kagera Sugar, Mtibwa Sugar hata hile ya kirafiki dhidi ya African sports madhaifu ni yake Yale kwa upande wa benchi la ufundi. Kiufundi naliona bench Hili la ufundi likizidiwa kwa mbali na like la papa Zahera Mwinyi.

2. Wachezaji
Kiukweli katika vitu ambavyo vimaiangusha timu Ni haina ya wachezaji tuliokuwa nao Sasa. Yaana ubinifu zero. Ukimtoa Mkoko na Tuisila Hawa wengine walioletwa na Eng. Hersi hawafai hata kuchezea Mbao fc. Lazima tufike mahalo tuambiane ukweli wale tumeletewa Mizigo tu, Ni Mara Mia tungesajili wachezaji wa ndani tu kuliko hii Mizigo. Hebu tumlinganishe Sarpong na Yusuf Mhiru, muangalie huyu Eric Msagati, Kuna huyu mchezaji yuko Gwambina anaitwa Meshaki Abeli na wengine wengi wanawazidi kwa mbali Sana Hawa tunaoaminishwa kuwa Ni mapro. Kiufupi Hawa kina Sarpong nawafananisha na watumishi hewa. Ni kheri tungebaki na Moringa David kuliko Hawa walioletwa kwa mbwebwe.

3. Viongozi Mikakati ya mafanikio ni Zero
Hawa Ni tatizo kubwa, kwa kiasi kikubwa Hawa wamefeli kabisa. Wanakosa Mission na Vision. Hadi Sasa nashindwa kuelewa Ni Yanga ya aina gani wanayoitengeneza na watafanikiwa kuifikia kwa njia zipi na kwa muda gani. Timu yoyote duniani lengo kubwa Ni KUSHINDA vikombe kwa uelewa wangu mdogo, au niseme Ni kutengeneza timu yenye ushindani. Sasa hebu tujiulize Yanga pamoja na kuongoza ligi tuna timu ya kushindana? Kwangu Mimi jibu Ni Hapana. Sasa Kama jibu Ni Hapana uongozi ndiyo umeboresha timu kwa kutuletea wachezaji Kama Fiston, alafu tunadanganyana tutunishe vifua ubingwa Ni wetu mwaka huu? Kwa wachezaji Hawa wa kuokoteza? Kazi viongozi imekuwa ni kulalamika tuuu badala kuangalia tunajikwamua vipi. Anyway labda Mimi peke yangu ndiyo sielewi.

4. Washabiki na Wapenzi
Tuna tatizo la kuhemuka, tunaaminishwa mambo mengine ambayo kiukweli hayawezekani nasi tunakubali. Tuungane kuwaambia ukweli Hawa viongozi ndiyo watabadilika. Tukiendelea hivi kuwapa support wanaona sawa tu, mwishowe mtaikuta timu Hiko nafasi ya kumi huko au inastruggle isishuke daraja. Tafadhari tuwe wamoja katika hili. Wakifanya vizuri tuwape sifa, wakiboranga tuwape ukweli wao.

NB:
Ukweli utaniweka huru. Tatizo kubwa la Yanga ni mfumo wa uendeshaji wa klabu. Tufanye haraka twende kwenye mabadiliko ambayo yatafanya timu kuwa vizuri kiuchumi hivyo kutuwezesha kutengeneza timu bora ya ushindani. Wakati Ni sasa Wala hatujachelewa.

Msimu ujao napendekeza Hawa wachezaji wa kigeni tubaki na wachache tu wenye tija, tusajili wachezaji wa ndani na wenye uwezo, hii iatatusaidia kupunguza gharama za uendeshaji kabla ya mabadiliko wakati Mikakati wa mabadiliko ukiendelea.

Mwisho nasisitiza tuwe na Mikakati ya kuutafuta ushindi, kiufundi ndani na nje ya uwanja. Tusiwe wa kulalamika kutafuta huruma. Tuige kwa wenzetu wanafanyaje, tutafika tu. Samahani uandishi nao Ni kipaji na Ni taaluma pia, inawezekana mipangilio na uandishi wangu siyo mzuri Ila nadhani nimeeleweka.

Yanga daimambele, nyuma mwiko,

Asanteni
Mkuu upo sahihi 100%
 
Viongozi wa yanga wana wadharau na kuwachukukia poa sana mashabiki wa yanga wana waburuza wanavyo taka wana waongopea wanavyo taka

Zaidi ya yote na wao wanaenda enda tuu kama mazombi

Me nadhani tatizo namba moja la yanga ni mashabiki wao

Kwa mechi ya Coast Union wote tuneona football imechezwa lakini kama kiongozi wa yanga akatoka na kusema tulionewa basi mashabiki na waao wataenda humo humo bira kutafakari

Kitu amabcho kwa simba sc ni tofauti sana timu yao inapo fanya vibaya mtuhumiwa wakwanza ni mchezani na kocha mapungufu ya marefa ni mara chache zana kukuta simba waki ya lalamikia
Muongo, usipotishe wasomaji wa jf. hata wakati wa Malinzi Simba ilikuwa lialia sana na waamuzi wakidai wanaonewa na yanga inabebwa na tff.
 
Tatizo ni wachezaji wazawa,wengi wao kama si wote viwango vipo chini sana ..sasa kwa soka la kiwango stahili kwa level ya yanga tusitegemee wazawa hawa kutupa matokeo...
Tumeona jana makosa ya beki iliyojaa wazawa ilivyoikosti timu
Haya unamtoa Niyonzima unamuingiza zawadi yale ni makosa mengine japo hata huyo Niyonzima naye ashachoka sasa
 
Tatizo la yanga ni mashabiki wao.Wengi hawana akili vizuri na wanawapa kichwa sana wachezaji. Wanawasifu wachezaji kama vile mastaa wa viwango vya dunia.

Kwa hiyo kisaikolojia hata wachezaji wasipojituma, inajulikana lawama ni kwa TFF,bodi ya ligi,waamuzi,Simba wanatia mkono wao(sijui hata wanatiaje), na serikali.

Sasa kibaya zaidi ni wale wachambuzi waliojaa kwenye media.Hawa ni mashabiki wakubwa wa utopolo na huwa hawawaambii ukweli.Na haya matokeo ya yanga,hutaona yanajadiliwa sana zaidi ya historia sijui mtu alizikwa baharini akasahailika. Sijui makomandoo wa coastal, na ujinga mwingine kama huo tunaouona nje ya uwanja kama ulivyo kwenye ndondo cup.

Unategemea kuna mabadiliko ya kiufundi yatafanyika kweli ndani ya uwanja?
Mpira ni mchezo wa wazi, kama wanaonewa ni rahisi kila mtu kuona. TFF imeishughulikia vipi kesi ya morison kwamfano,
 
Back
Top Bottom