Yanayotukera pindi tukisafiri

Yanayotukera pindi tukisafiri

Acha uzinzi...

Mithali 6:32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa
[emoji23][emoji23]
Kwaiyo nikazini na mbwa?

Mfano ikatokea umezini na mbwa, hao hao wanawake wanaokupondea usizini nao utawasikia wanasema "bora angeniomba mimi ningempa"

Wanawake hamjawahi kueleweka [emoji23][emoji23]
 
Habari zenu

Je, umewai safiri ukaka siti moja na mtu anayenunua vitu kila sehemu au mwenye mtoto na kama ndio ilikuwaje?

Mimi naaza nilikaa na mtu anakula vibaya yaani kila kituo ananunua kitu mara mahindi ya kuchoma mara mahindi ya kuchemsha wakati lile la kuchoma hajamaliza kula mara mayai mara ndizi maziwa yaani na vyote anakula halafu sasa akaaza kujiongelesha ase nilikaa kimya nikamkata jicho hakurudia tena kuongea
Hiyo sio kula,hiyo inaitwa kufakamia...
 
Mimi huwa napenda kuskia ile kauli ya "Ndugu abiria, ni muda wa kuchimba dawa"

Wakishuka karibia nusu ya abiria, mi nakimbilia kule upande wa wanawake, nakuwa natazama maajabu[emoji23] wengine kuniona tu wanainuka, mkojo unatokea kwa nyuma, shouuuuuuuuu[emoji23]

Au basi, ngoja nikaoge kwanza
 
Mimi huwa napenda kuskia ile kauli ya "Ndugu abiria, ni muda wa kuchimba dawa"

Wakishuka karibia nusu ya abiria, mi nakimbilia kule upande wa wanawake, nakuwa natazama maajabu[emoji23] wengine kuniona tu wanainuka, mkojo unatokea kwa nyuma, shouuuuuuuuu[emoji23]

Au basi, ngoja nikaoge kwanza
Mshezi Sana ww [emoji23][emoji23][emoji23] na ww unachunguliwa [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom