Yanayotokea Zimbabwe sio rahisi Magufuli kuomba iondolewe vikwazo, ninachokiona hata Tanzania yaweza kuwekewa vikwazo

Vikwazo vinaharibu uchumi wa Zimbabwe (hao wanaoandamana ni sbb ya vyuma) na kuathiri kwa kiasi fulani nchi za SADC ni mjinga tu atakayetumia karata ya utawala bora kusema waendelee kuumizwa huku akikosa darasa namna ambavyo mabeberu hutumia karata hiyo kutimiza malengo yao. Tujifunze kidogo ktk historia na tufikiri kwa kina.
 
Serikali ya Marekani imesema inaendelea kusikitishwa na hali mbaya inayozidi kuongezeka nchini Zimbabwe juu ya ukandamizwaji wa upinzani unaofanywa na vyombo vya dola.

Licha ya Marekani kuitaka serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa kubadili sheria kadhaa ili kuboresha mahusiano ya nchi hizo mbili kidiplomasia, Serikali bado haijachukua hatua zozote.

Wiki iliyopita serikali ya Mnangagwa ilipiga marufuku aina yoyote ya mikusanyiko na maandamano iliyokua inaratibiwa na chama kikuu cha upinzani nchini humo MDC.

Licha ya kua kwenye shinikizo kali, serikali ya Mnangagwa inakabiliwa na tishio la maandamo kutoka kwa madaktari wanao taka ongezeko la mishahara.

Polisi wanatajwa kutetea chama tawala na kunyanyasa upinzani. #KwanzaHabari
Marekani piga mabomu vi Ikulu vyao linangagwa linafia mle mambo yameisha!
 
Nilishangaa sana kumsikia mzee wa mavumbini juzi anatoa povu kwamba Tanzania itakuwa mstari wa mbele kushinikiza Zimbabwe iondolewe vikwazo vya kiuchumi.

Yaani nilishangaa mpaka nikasikia usingizi
Yule mzee hajui hats anachopigania.
Yawezekana nikuhakikisha harejei jalalani kamwe.
 
Vikwazo vinaharibu uchumi wa Zimbabwe (hao wanaoandamana ni sbb ya vyuma) na kuathiri kwa kiasi fulani nchi za SADC ni mjinga tu atakayetumia karata ya utawala bora kusema waendelee kuumizwa huku akikosa darasa namna ambavyo mabeberu hutumia karata hiyo kutimiza malengo yao. Tujifunze kidogo ktk historia na tufikiri kwa kina.

Tatizo la Zimbabwe ni utawala wa kulazimisha, chama kina zaidi ya miaka 30 madarakani, watu hawakitaki kinaishia kuiba kura kwa kisingizio cha kuleta uhuru. Hayo hayo ndio yanayofanywa na ccm hapa nyumbani.
 
Mitawala ya Afrika akili zao mbovu zinafanana kama walivyo baadhi ya wananchi wao.
 
Vikwazo vinaharibu uchumi wa Zimbabwe (hao wanaoandamana ni sbb ya vyuma) na kuathiri kwa kiasi fulani nchi za SADC ni mjinga tu atakayetumia karata ya utawala bora kusema waendelee kuumizwa huku akikosa darasa namna ambavyo mabeberu hutumia karata hiyo kutimiza malengo yao. Tujifunze kidogo ktk historia na tufikiri kwa kina.

Kila kitu kilikuwa kinaenda sawa zimbambwe mpaka pale Mugabe alipoanza kupambana na nguvu ya wananchi kuondoka madarakani.

Mnagangwa alipaswa kurekebisha hali ya hewa lakini hana huo uwezo, sababu amekuwa mfaidika wa utawala wa zimbambwe kwa muda mrefu, haoni tatizo lolote.
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda sawa zimbambwe mpaka pale Mugabe alipoanza kupambana na nguvu ya wananchi kuondoka madarakani.

Mnagangwa alipaswa kurekebisha hali ya hewa lakini hana huo uwezo, sababu amekuwa mfaidika wa utawala wa zimbambwe kwa muda mrefu, haoni tatizo lolote.

Ndugu historia yangu inasema Robert alikuwa kipenzi cha Malkia ila alipogusa ardhi shida ikaanzia hapo na si vinginevyo.
Hiki kinachotokea sasa ni matokeo ya madhila ya muda mrefu.
 
Ndugu historia yangu inasema Robert alikuwa kipenzi cha Malkia ila alipogusa ardhi shida ikaanzia hapo na si vinginevyo.
Hiki kinachotokea sasa ni matokeo ya madhila ya muda mrefu.

Uko sahihi kabisa, lakini si unajua mugabe hakugusa ardhi sababu ya nia njema kwa wana zimbwabwe? aligusa ardhi kwa ajiri ya kufikia malengo yake ya kisiasa? aliforce kubadirisha upepo wa kisiasa kutoka kwenye kumtakaa mpaka kwenye kuzungumzia ardhi ardhi ardhi huku yeye akionekana kama mkombozi wa wana zimbabwe.

wana zimbabwe hawakujiuliza where was mugabe all this while ??
 
Uko sahihi kabisa, lakini si unajua mugabe hakugusa ardhi sababu ya nia njema kwa wana zimbwabwe? aligusa ardhi kwa ajiri ya kufikia malengo yake ya kisiasa? aliforce kubadirisha upepo wa kisiasa kutoka kwenye kumtakaa mpaka kwenye kuzungumzia ardhi ardhi ardhi huku yeye akionekana kama mkombozi wa wana zimbabwe.

wana zimbabwe hawakujiuliza where was mugabe all this while ??

Hata kama hiyo ndo motive lakini haiondoi ukweli kuwa Vikwazo sasa basi.
 
Serikali ya Marekani imesema inaendelea kusikitishwa na hali mbaya inayozidi kuongezeka nchini Zimbabwe juu ya ukandamizwaji wa upinzani unaofanywa na vyombo vya dola.

Licha ya Marekani kuitaka serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa kubadili sheria kadhaa ili kuboresha mahusiano ya nchi hizo mbili kidiplomasia, Serikali bado haijachukua hatua zozote.

Wiki iliyopita serikali ya Mnangagwa ilipiga marufuku aina yoyote ya mikusanyiko na maandamano iliyokua inaratibiwa na chama kikuu cha upinzani nchini humo MDC.

Licha ya kua kwenye shinikizo kali, serikali ya Mnangagwa inakabiliwa na tishio la maandamo kutoka kwa madaktari wanao taka ongezeko la mishahara.

Polisi wanatajwa kutetea chama tawala na kunyanyasa upinzani. #KwanzaHabari
Anavyotukuzwa Na kukwezwa jpm ndivyo ilivyokuwa Kwa wapambe wa Mugabe mpaka akaitumbukiza nchi shimoni na sisi ndiko tunakoelekea
 
Hata kama hiyo ndo motive lakini haiondoi ukweli kuwa Vikwazo sasa basi.
unavuna ulichokipanda mkuu. hamnaga vikwazo vinaondolewa kwa matamko. Hao akina mwanagangwa wanapaswa wajue kama upepo wa kisiasa hauko upande wao wauache uvume kuelekea unakotaka.

na wao waondoe vikwazo vya kisiasa
 
Back
Top Bottom