Yanayotokea Zimbabwe sio rahisi Magufuli kuomba iondolewe vikwazo, ninachokiona hata Tanzania yaweza kuwekewa vikwazo

Kuirudisha Zimbabwe ile sio leo wala kesho mana Rais wao muda utaisha na ataondoka bila kufanya chochote,so waendelee kula matunda waliyomchekea mugabe kipind anawafukuza weupe
Watu wengi huwa hawaelewi hayo uliyosema, ni ukweli usiofichika kwamba zimbabwe ya enzi zile za wakulima wazungu ilikuwa bora kuliko ilivyokuwa baada ya kuwafukuza hao walioitwa walowezi, hata huyu rais wenu (meko) ndiko anataka kutupeleka
 
Utakua unamsema Sultani Mbowe wewe
Mbowe hatawali anaongoza chama,tofautisha kutawala na kuongoza
Kama prefect wa darasani tofauti na mwalimu mkuu maana inatokea oders kutoka kwa walimu. Tofauti na mwalimu mkuu yeye anatoa orders kwa wote na prefect anaweza kupewa adhabu yeye ni boss wa kipindi kidogo yaani darasa lake.
Mfano nzuri ni kwamba Mbowe angekuwa utawala asingewekwa mahabusu miezi yote.
Mtawala hashitakiwa na zile nchi wenye sheria inayoruhusu kushitakiwa kwanza kabla hawana mshitaki huwa wanajua kinga, yaani wanajua utawala ndiyo wamsimamishe kizimbani.
Sasa kama mbowe anaweza mpaka kufungwa huwezi kuwafananisha na mtawala ni kiongozi wa kikundi kinavho dai haki. Na kawaida mkiwa vitani kama kila siku bila sababu yoyote mnabafilisha kiongozi kisa tu chama utawala kinataka huko serious.
Vyama vingi tulivyo kuwa vina fight for freedom havikubadilisha kiongozi mpaka vimefanikiwa kuingia madarakani, au kiongozi ajiuzulu au afe.
 
Hawa viongozi wa Afrika wanaona raha sana kuwekea vikwazo wenzao, jitu kwenye Nchi yake linaweka vikwazo mpaka chooni, alafu linaomba kuondolewa vikwazo na mabeberu.

Mabeberu ongezeni vikwazo, mpaka hawa marais wa Afrika waondoe vikwazo walivyowawekea wananchi wao.
 
Mbowe hatawali anaongoza chama,tofautisha kutawala na kuongoza
Kama prefect wa darasani tofauti na mwalimu mkuu maana inatokea oders kutoka kwa walimu. Tofauti na mwalimu mkuu yeye anatoa orders kwa wote na prefect anaweza kupewa adhabu yeye ni boss wa kipindi kidogo yaani darasa lake.
Mfano nzuri ni kwamba Mbowe angekuwa utawala asingewekwa mahabusu miezi yote.
Mtawala hashitakiwa na zile nchi wenye sheria inayoruhusu kushitakiwa kwanza kabla hawana mshitaki huwa wanajua kinga, yaani wanajua utawala ndiyo wamsimamishe kizimbani.
Sasa kama mbowe anaweza mpaka kufungwa huwezi kuwafananisha na mtawala ni kiongozi wa kikundi kinavho dai haki. Na kawaida mkiwa vitani kama kila siku bila sababu yoyote mnabafilisha kiongozi kisa tu chama utawala kinataka huko serious.
Vyama vingi tulivyo kuwa vina fight for freedom havikubadilisha kiongozi mpaka vimefanikiwa kuingia madarakani, au kiongozi ajiuzulu au afe.
Hamtaki kabisa kuguswa
 
Back
Top Bottom