Yanayotokea Zimbabwe sio rahisi Magufuli kuomba iondolewe vikwazo, ninachokiona hata Tanzania yaweza kuwekewa vikwazo

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,867
Serikali ya Marekani imesema inaendelea kusikitishwa na hali mbaya inayozidi kuongezeka nchini Zimbabwe juu ya ukandamizwaji wa upinzani unaofanywa na vyombo vya dola.

Licha ya Marekani kuitaka serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa kubadili sheria kadhaa ili kuboresha mahusiano ya nchi hizo mbili kidiplomasia, Serikali bado haijachukua hatua zozote.

Wiki iliyopita serikali ya Mnangagwa ilipiga marufuku aina yoyote ya mikusanyiko na maandamano iliyokua inaratibiwa na chama kikuu cha upinzani nchini humo MDC.

Licha ya kua kwenye shinikizo kali, serikali ya Mnangagwa inakabiliwa na tishio la maandamo kutoka kwa madaktari wanao taka ongezeko la mishahara.

Polisi wanatajwa kutetea chama tawala na kunyanyasa upinzani. #KwanzaHabari
 
Kuirudisha Zimbabwe ile sio leo wala kesho mana Rais wao muda utaisha na ataondoka bila kufanya chochote,so waendelee kula matunda waliyomchekea mugabe kipind anawafukuza weupe

Zimbabwe ya weupe ilikuwa nzuri sana ajira nje nje,mzunguko wa pesa mzuri biashara zinatoka,
 
Tanzania tunaliwa timing tu maana sababu zinazotajwa kuwakwaza wale ambao wanatuwekea vikwazo ndio hizo hizo nazo zinatokea daily Tanzania
 
Nilishangaa sana kumsikia mzee wa mavumbini juzi anatoa povu kwamba Tanzania itakuwa mstari wa mbele kushinikiza Zimbabwe iondolewe vikwazo vya kiuchumi.

Yaani nilishangaa mpaka nikasikia usingizi
 
Serikali ya Marekani imesema inaendelea kusikitishwa na hali mbaya inayozidi kuongezeka nchini Zimbabwe juu ya ukandamizwaji wa upinzani unaofanywa na vyombo vya dola.

Licha ya Marekani kuitaka serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa kubadili sheria kadhaa ili kuboresha mahusiano ya nchi hizo mbili kidiplomasia, Serikali bado haijachukua hatua zozote.

Wiki iliyopita serikali ya Mnangagwa ilipiga marufuku aina yoyote ya mikusanyiko na maandamano iliyokua inaratibiwa na chama kikuu cha upinzani nchini humo MDC.

Licha ya kua kwenye shinikizo kali, serikali ya Mnangagwa inakabiliwa na tishio la maandamo kutoka kwa madaktari wanao taka ongezeko la mishahara.

Polisi wanatajwa kutetea chama tawala na kunyanyasa upinzani. #KwanzaHabari
Hawa SADC wanataka kutuingiza mkenge. Kwani vikwazo Zim vimeanza Leo mpaka sisi tuwe vimbelembele kuwatetea. Mbona uongozi uliopita wa RSA chini ya Zuma then Ramaphosa na Namibia chini ya Hage hawakuyazungumxia hayo. Tena wao ni neighbours na ndiyo wameathirika zaidi na wingi wa wakimbizi toka Zim.
 
Hawa SADC wanataka kutuingiza mkenge. Kwani vikwazo Zim vimeanza Leo mpaka sisi tuwe vimbelembele kuwatetea. Mbona uongozi uliopita wa RSA chini ya Zuma then Ramaphosa na Namibia chini ya Hage hawakuyazungumxia hayo. Tena wao ni neighbours na ndiyo wameathirika zaidi na wingi wa wakimbizi toka Zim.
wewe subiri wajichanganye, nadhani hawazijui shombo za trump. watasababisha Bara zima tuporomoshowe matusi
 
Wa
Serikali ya Marekani imesema inaendelea kusikitishwa na hali mbaya inayozidi kuongezeka nchini Zimbabwe juu ya ukandamizwaji wa upinzani unaofanywa na vyombo vya dola.

Licha ya Marekani kuitaka serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa kubadili sheria kadhaa ili kuboresha mahusiano ya nchi hizo mbili kidiplomasia, Serikali bado haijachukua hatua zozote.

Wiki iliyopita serikali ya Mnangagwa ilipiga marufuku aina yoyote ya mikusanyiko na maandamano iliyokua inaratibiwa na chama kikuu cha upinzani nchini humo MDC.

Licha ya kua kwenye shinikizo kali, serikali ya Mnangagwa inakabiliwa na tishio la maandamo kutoka kwa madaktari wanao taka ongezeko la mishahara.

Polisi wanatajwa kutetea chama tawala na kunyanyasa upinzani. #KwanzaHabari
Wamuwekee vikwazo haraka sana shetani wa Tanzania, maana anaumiza sana watanzania.
 
Zimbabwe ya weupe ilikuwa nzuri sana ajira nje nje,mzunguko wa pesa mzuri biashara zinatoka,
Wakati huo Zim ikiitwa "Bread basket of southern Africa" kabla Cmdr Robert Gabriel Mugabe kuibadilisha ikawa "Basket case of sub Saharan Africa"!!!
 
Sasa point ya kumuondoa Mugabe ilikuwa ipi kama huyo ndio bogus hivi.

Hawa watu inatakiwa waongezewe vikwazo zaidi ili washindwe hata kulipa mishahara ndio Zanu PF iondolewe kirahisi.
Huyu Mnangagwa ni bure sana.
 
Viongozi wa Afrika wanafanana.

Hata upinzani uingie madarakani bado watakuwa sawa na watawala.
 
Battle na whites unatakiwa uwe na strong mandatory state kama cuba dadek... Vinginevyo zimbambwe watazinguana saana
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom