Yanayosemwa Kenya: Magufuli Kushirikiana na Raila Uchaguzi mkuu

d30be3f60f0fdf9f612801711346243e.jpg
Zitto naye kwa "Kiherehere" hajambo.

Sasa yeye ndio msemaji wa serikali? Anaita "rubbish" kwa uhakika upi?

Aache wahusika wakanushe wenyewe. Ajiepushe na "kifront front"
 
Zitto nae kajuaje hiyo ni "utter rubbish"? Alipata muda wa kuona evidence, if it exists, kutoka kwa Kuria na kujiridhisha kinachosemwa ni upuuzi mtupu? Huku kujikomba kwa Watawala kunatia aibu kwa hadhi ya mtu aliyejipachika cheo cha " Mkuu wa Chama"
Tumbo liko mbele zaidi ya akili zake.

Kujikomba, na unafiki ni hulka zake kuu huyo Kiongozi Mkuu.
 
Mi nadhani ishu ni ndogo sana kama Uhuruto watabaini hilo basi 2020 waje kwa mzee lowassa waungane nae kwa hali na mali naamini sisiemu atapoteana vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wakenya vipi? mbona juzi juzi tu Lowassa alikuwepo Kenya tena mbele ya wananchi alisema yeye na Chadema wanamuunga mkono Uhuru na Jubilee yake mbona Tanzania haikusema kuna uhaini hapo
Hata ccm ingesema inamuunga mkono Rais au NASA sio vibaya.

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Nyerere hakuwahi kukwaruzana na Kenyata, Moi ama Amin kwenye mambo binafsi bali walitofautiana kimisimamo na kiitikadi. Alimshutumu Amin kwa kumpindua Obote ingawa urafiki wake na Obote ulitokana kwa yeye kuamini kwamba Obote ana misimamo ya Kijamaa zaidi kuliko Kenyatta!
Nadhani ni how e deliver but mantiki ni moja.
Kwani manyang'au and the likes zimetokea wapi mkuu?
 
Zitto naye kwa "Kiherehere" hajambo.

Sasa yeye ndio msemaji wa serikali? Anaita "rubbish" kwa uhakika upi?

Aache wahusika wakanushe wenyewe. Ajiepushe na "kifront front"
Ni mzalendo, analipenda taifa Lake
 
Mark my Words

Uhuru atashinda na kuendelea kuwa Rais wa Nne wa Kenya

NASA wataenda Supreme Court kupinga matokeo, lakini Court itamthibitisha Uhuru kuwa ni Rais halali

Chief Economist
Kwa faida ya Kenya hii kitu bora iwe kweli. Raila amejidhalilisha sana kuwa na rafiki na Sizonje. Wakimchagua wajiandae kuwa na Kenya ya hovyo kutokana na ushauri wa hovyo kutoka kwa rafiki wa hovyo.
 
Tanzania wana mengi mno yanawadai hawajafanya kiasi kwamba kama ni kweli itakuwa ni sawa na ile hadithi ya "Doctor Vulture Treating the Baldness".
 
Siku hizi Zitto zubery Kabwe ndiyo kawa msemaji wa serikali yetu? Maana naona kama vile yeye kila siku kama yupo upande wa serikali. Waziri wa Nishati ateuliwe mapema ili hii tabia ikome na Zitto arudi kwenye utimamu wake!
Bwana Kilewela, Zitto ni Mzalendo wa kweli anachofanya ni kuweka maslahi ya Nchi mbele
Ndani ya nchi tuna vyama, ccm na wapinzani tukitoka nje tunabaki na Tanzania moja tu. Na kila mmoja anaiwakilisha nchi inayotambulishwa na Serikali yake.
Huwezi kwenda Kenya ukasema mimi ni CDM/CUF/NRA/TLP....
Tutagombana ndani lkn nje tutasimama wamoja kama taifa
 
Yeye yuko nje ya serikali anayajuaje yanayofanywa na serikali kwa siri? Hapo kwa kweli kajikomba kuliko hata kahaba anavyo jikomba mbele ya mteja wake.

Hilo jambo kama limefanyika lazima ni kwa siri kubwa kiasi hata baadhi ya maofisa waandamizi wa serikali wasijue. Kwa inteligensia yao Kenya wameligundua hilo. Na ukichukulia kuna urafiki (usio wa kiserekali baina ya rais wetu na mgombea mmoja) uwezekano wa ukweli wa madai hayo ni mkubwa.

Badala ya sisi (akiwemo Zitt) wachezea pembeni kuitaka serikali itoe majibu na kama inajihusisha iache kwani ni kuhatarisha ushirikiano wa Afrika Mashariki tunageuka kuwa watetezi eti tunatetea serikali yetu. Kwa nini Kenya wasiitaje Uganda au Sudan bali sie.

Chokochoko kama hizi ndio zilileta vita ya Uganda na zilivunja jumuia 1977 na kuleta mateso makubwa kwa raia wetu na uchumi kuharibika.

Endeleeni kumpa kichwa Sizonje wakati anatutumbukiza shimoni. Hivi kawalisha nini?
Ndoto zenu za mchana Na hila zenu chadema hazitafanikiwa
 
Chama cha Jubilee maji yako shingoni. Huko mbeleni hali yao ni mbaya. Wameshikwa pabaya.
 
Back
Top Bottom