Yanayosemwa Kenya: Magufuli Kushirikiana na Raila Uchaguzi mkuu

d30be3f60f0fdf9f612801711346243e.jpg
 
e96ae5d817c9b3b5448c99780c3e1577.jpg


Itakuwa kama kashfa ya Putin kuingilia uchaguzi wa marekani kufanikisha Trump kushinda?
Kweli Mheshimiwa Rais Magufuli ni family friend wa Raila Odinga kwa hili kwa maslahi ya taifa hakuna haja ya Tanzania kuingilia uchaguzi wa Kenya, na Raila asijaribu kutumia ukaribu wake na Rais Magufuli katika kampeni za uchaguzi huo wa kenya. Tamko binafsi ya Rais Magufuli kuwa Tanzania haiungii upande wowote kwenye uchaguzi huu wa Kenya ni muhimu.
 
Back
Top Bottom