General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Itakuwa kama kashfa ya Putin kuingilia uchaguzi wa marekani kufanikisha Trump kushinda?
Kweli mkuu Huyu mtu ni shidaSiku hizi Zitto zubery Kabwe ndiyo kawa msemaji wa serikali yetu? Maana naona kama vile yeye kila siku kama vile yupo upande wa serikali. Waziri wa Nishati ateuliwe mapema ili hii tabia ikome na Zitto arudi kwenye utimamu wake!
LadyAJNa hapo itambidi Mungu wetu akutane na Uhuru kwenye jumuiya na kupeana vicheko vya kinafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Mheshimiwa Rais Magufuli ni family friend wa Raila Odinga kwa hili kwa maslahi ya taifa hakuna haja ya Tanzania kuingilia uchaguzi wa Kenya, na Raila asijaribu kutumia ukaribu wake na Rais Magufuli katika kampeni za uchaguzi huo wa kenya. Tamko binafsi ya Rais Magufuli kuwa Tanzania haiungii upande wowote kwenye uchaguzi huu wa Kenya ni muhimu.
Itakuwa kama kashfa ya Putin kuingilia uchaguzi wa marekani kufanikisha Trump kushinda?
Uhuruto watumie umafia jamaa atokeAkifanya huo ujinga Uhuru atamusaidia kuiaga magogoni before 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
wew hana nguvu hyo wala akili hyo wew,, kuingilia ya magogoni katika ushindi jipe matumaini mfuuuAkifanya huo ujinga Uhuru atamusaidia kuiaga magogoni before 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo tofauti kubwa sana. Kitu chochote kinaweza kuwa "mungu" lakini "Mungu" ni muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo! Mungu hafananishwi na chochote kile!mungu na Mungu kuna tofauti?
Sent From Ikulu-Magogoni street