Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Kazi ikulu ya tanzania ni ya kipumbavu sn. Yaani kazi yao kukanusha tu lkn sio kutoa report ya ujenzi wa viwandaInabidi Ikulu ikanushe uvumi huu
Kazi ikulu ya tanzania ni ya kipumbavu sn. Yaani kazi yao kukanusha tu lkn sio kutoa report ya ujenzi wa viwandaInabidi Ikulu ikanushe uvumi huu
Na hapo ndipo Colonel Mtukufu atakapojiona mjinga wa mwisho.Mark my Words
Uhuru atashinda na kuendelea kuwa Rais wa Nne wa Kenya
NASA wataenda Supreme Court kupinga matokeo, lakini Court itamthibitisha Uhuru kuwa ni Rais halali
Chief Economist
Viwanda vinaendelea kwa kasi ya ajabuKazi ikulu ya tanzania ni ya kipumbavu sn. Yaani kazi yao kukanusha tu lkn sio kutoa report ya ujenzi wa viwanda
Comrade tentementeNa hapo ndipo Colonel Mtukufu atakapojiona mjinga wa mwisho.
Colonel anataka aweke watu wake wa kuwacontrol ktk nchi zinazotuzunguka eti anajidai nae ni Nyerere wa Leo wakati huo mfumo ulishapita na kumshinda Nyerere
Jamaa wameshausoma mchezo, Colonel kazidisha chuki kubwa sana kati ya Jaluo na Kikuyu na hii inaweza kutuathiri sana sisi watz kama raia wa kawaida tunaokwenda kujitafutia riziki huko na kurudi.Comrade tentemente
Uhuruto wameshagundua kinachopangwa na Colonel Mtukufu ili kujaribu kumweka Swahiba wake....
Nakuhakikishia
NASA watashangaa tarehe 8 Aug
Pamoja na figisu zao hawataamini
Chief Economist
Nani akuamini wakati wote tupo tarehe 23 ya leo ....hiyo tar 8'hatujafika.....kawadaganye wapuuzi wenzio.Mark my Words
Uhuru atashinda na kuendelea kuwa Rais wa Nne wa Kenya
NASA wataenda Supreme Court kupinga matokeo, lakini Court itamthibitisha Uhuru kuwa ni Rais halali
Chief Economist
Sawa ComradeNani akuamini wakati wote tupo tarehe 23 ya leo ....hiyo tar 8'hatujafika.....kawadaganye wapuuzi wenzio.
Hilo tamko lilikwishatolewa haina haja kurudia rudia.Kweli Mheshimiwa Rais Magufuli ni family friend wa Raila Odinga kwa hili kwa maslahi ya taifa hakuna haja ya Tanzania kuingilia uchaguzi wa Kenya, na Raila asijaribu kutumia ukaribu wake na Rais Magufuli katika kampeni za uchaguzi huo wa kenya. Tamko binafsi ya Rais Magufuli kuwa Tanzania haiungii upande wowote kwenye uchaguzi huu wa Kenya ni muhimu.
Unaongea nini ww hao jubilee wamebinywa kila kona wanatafuta pa kushikaTanzania sasa ni taifa lenye uchumi mkubwa, Magufuli kama Vladimir Putin....
Ila kiukweli Rail Omolo Odinga hawezi kushinda uchanguzi wa kenya, labla Odinga aombe msaada wa ma Profesional IT kutoka Israel.... Ndiyo ashinde uchanguzi
Huijui CCM ww ....Mi nadhani ishu ni ndogo sana kama Uhuruto watabaini hilo basi 2020 waje kwa mzee lowassa waungane nae kwa hali na mali naamini sisiemu atapoteana vibaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga hao
Wanamtafuta mchawi zaidi yao wao wenyewe
Sasa Zuberi ye kajibu kama nani ? Mwanaume kujipendekeza siyo hulka yetu.
Aisee upogo, ushaponaga Yale majeraha ya wezi waliokujeruhi? Nlisitika sana kipindi kile nlipoona majeraha ya mapanga alizopost mshikaji wako ambaye simkumbuki, VP ulipata Mali zako baadae ama?Wajinga hao
Wanamtafuta mchawi zaidi yao wao wenyewe
Siwez shangaa,Miaka ya nyuma kuna uchaguzi mmoja hivi wa nchi flani hivi kura za ziada zilipigiwa rombo
Anataka uwaziri wa masherti na majiniSasa Zuberi ye kajibu kama nani ? Mwanaume kujipendekeza siyo hulka yetu.
Ni kweli mkuu siyo bure wallah.