tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,752
- 31,091
Yani muda wa kuoa ukifika Mungu hukufungulia mambo mengi Sana.Kubwa ni wife materials kadhaa hujitokeza bayana kabisaaaa.
Mfano mie hapa takribani mabinti 6 ambao wamelelewa ktk maadili mazuri na ya dini wamejidhihirisha waziwazi.Wengine wamewaambia hadi mama zao juu ya urafiki wa kawaida tu usio wa kimapenzi tulio nao.Changamoto ni hali halisi ilivyo kiuchumi ili kufikia hatua takatifu ya ndoa.
Kijana wa kiume jiheshimu,heshimu jamii utaona matokeo yake.Wamama watataka uoe mabinti zao.
Mfano mie hapa takribani mabinti 6 ambao wamelelewa ktk maadili mazuri na ya dini wamejidhihirisha waziwazi.Wengine wamewaambia hadi mama zao juu ya urafiki wa kawaida tu usio wa kimapenzi tulio nao.Changamoto ni hali halisi ilivyo kiuchumi ili kufikia hatua takatifu ya ndoa.
Kijana wa kiume jiheshimu,heshimu jamii utaona matokeo yake.Wamama watataka uoe mabinti zao.