Nchi ya Msumbiji yaingiwa na hofu kali ya kuingia vitani tena, baada ya mwanasiasa wa chama cha RENAMO kutekwa hapo jana akiwa maskani kwake Beira, habari zinasema, maaskofu ndio waliomwita kutoka porini ili kumuomba kwa amani baada ya kuhisi anaweza kufanya kitu kibaya, kufuatia kumkosa kumuua wiki juzi huko tete, akihojiwa na waandishi wa habari Dhlakama amesema, mwisho wa Dhlakama sio mwisho wa RENAMO, kuna Dhlakama atakae kuja huyu atakuwa hatari kuliko mimi, na amesema nataka nione jinsi demokrasia inavyovunjwa Mozambique.
Nikiripoti kutoka mMsumbiji mimi ni katusyo wa JamiiForums
Nikiripoti kutoka mMsumbiji mimi ni katusyo wa JamiiForums