ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Ningekuwa mie ndo mmoja wa viongozi mwanza, ngejiuzulu. Watu wamefanya kazi nzuri, then mtu anawatibua just to gain sympathy? Bukoba wanamsubiriAnguko la serikali hii ni pale tu watakapojitokeza viongozi watakaokua tayari kujiuzuru kwa kushindwana na aliye wateua.