Haumwi mkuu niko nae same flight yeye na mkewe..
huu msimamo wa udini wako ndo msimamo wa chama chako, cdm?hapo kuna unafiki mkubwa sana...watawataja wauza watumwa akina sheikh m mkwawa,sheikh kinje na abushiri jinsi walivyo wapiga wamisionary walioingilia biashara yao ya utumwa.
kwenye ndege hakuhusu mu Africa wala mzungu as long as unaweza kulipia unatumia.Kwani waafrica wakipanda ndege wanaruhusiwa sim zao ziwe on?
Haha..au yupo busy kutengeneza hospitali ya marais yenye ikulu ili aongeoze nchi kwa remote...tofauti na swahiba aliyemtosa ambaye aliacha NCHI KTK AUTO PILOT?Amejichanganya na raia si unajua yule ni mtu wa watu?
wewe mwehu kwelikweli?Mbona Karume mnamwita Sheikh na anabaki kuwa kiongozi wa muhimu wa Zenj?Au kwa vile kuficha ya mkwawa itaficha alichokipigania?huu msimamo wa udini wako ndo msimamo wa chama chako, cdm?