Rais anayepewa heshima zote ulizotaja ni wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hoja hapa si suala la ukoloni bali muundo wa muungno wenyewe. Kwa mf. Wakati wa rais Mwinyi, serikali ya Tanzania bara iliongozwa na Mzanzibari. Ndo maana rasimu Warioba ikapendekeza muungano wa serikali tatu. Kama hoja ni ukoloni wa Tanzania bara, hata Mzanzibari aliwahi kuitawala Tanganyika.