Yanayojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA

... hilo limaitwa vazi la ukombozi kaka! Linaleta furaha penye huzuni; linaleta amani palipo na vurugu; linaleta mwanga penye giza! Hilo vazi hata Shetani linamtesa.
Tumekuelewa wachache. Chadema wabarikiwe
 
Kikao cha Kamati Kuu ya chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiendelea muda huu, ikiongozwa na Mh. Freeman Mbowe muda huu.
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama wakiwa ukumbini wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao hicho iliyotolewa na Mwenyekiti Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe.

View attachment 2152766
View attachment 2152754View attachment 2152755View attachment 2152756

View attachment 2152765
Wasitumbue tu macho yao...
Waje na maamuzi ya mwisho juu ya Covid-19!
Na vile vile washinikize wapewe taarifa juu ya Saanane.
Kuhusu Katiba Mpya... Tunataka sheria itungwe na iondoe mamlaka ya kusimamia maoni ya wananchi mikononi mwa tume ya uchaguzi kwa sababu hiyo tume ni miongoni mwa vitu vya kubadilisha!

Wananchi amkeni... amkeni!
 
Wasitumbue tu macho yao...
Waje na maamuzi ya mwisho juu ya Covid-19!
Covid19 inataka watu wavae barakoa na ku keep social distance wao wenyewe hawajavaa barakoa na ku ku keep social distance ndio unatarajia wake na masmuzi ya wabunge Covid19 hivi akili ziko sawa wewe? Utasubiri sana!!
 
Covid19 inataka watu wavae barakoa na ku keep social distance wao wenyewe hawajavaa barakoa na ku ku keep social distance ndio unatarajia wake na masmuzi ya wabunge Covid19 hivi akili ziko sawa wewe? Utasubiri sana!!
Covid-19 unawajua kweli??
 
Covid-19 unawajua kweli??
Covid19 naijua njia za kulinda ni pamoja na kuvaa barakoa na Social distance kamati kuu hawajazingatia

Vichwa vya habari vya magazeti kama kweli wako serious na mapambano dhidi ya Corona wasihangaike kuandika kamati kuu Chadema ilisema nini waandike iuzembe wao waliofanya kutovaa barakoa na social distance

Sababu chukulia wametoka mikoa yote Tanzania nzima mmoja hapo akiwa na Corona sia ataambukiza kanda zote za wajomba na kwenda Kuua watu kanda au mkoa wake kwa Corona?. Hapo hoja kuu inatakiwa kuwa wajumbe hawakuvaa barakoa wala ku keep social distance kujilinda na Corona
 
Relax mkuu utakufa na presha, chama ni watu sio majengo!ccm hadi leo wale maadui bado wametamalaki after more than 60yrs ya utawala went,ujinga umasikini na maradhi na rushwa ndio catalyst yenu,fufueni kwanza vile viwanja vya mpira wa miguu kuanzia majimaji hadi kirumba
Mnakosea sana, vile viwanja sio vya ccm ni vyetu. Ccm hakijawahi kujenga kiwanja chochote cha mpira wala hata ofisi hawajawahi kujenga vyote wanavyotumia ni vya wananchi. Take that please.
 
Kwa kuweweseka huko nadhani unahitaji msada wa vidonge ili kupata usingizi.
  • Numerous studies have found that insufficient sleep increases a person's risk of developing serious medical conditions, including obesity, diabetes, and cardiovascular disease.
  • Lack of adequate sleep over time has been associated with a shortened lifespan.
Hakuna ulichojibu zaidi ya ku divert!
 
Magazeti Kesho heading kuu ukurasa wa mbele iwe Chadema wakaa kikao cha kamati kuu bila kuvaa barakoa wala social distance pamoja na kuwa ni waumini wakubwa waumini Corona ipo

Halafu iwekwe picha ya kikao
Hivi bado una chuki tu? We changudoa ulishiriki kwa kiasi kikubwa kupanga njama za kumwua lissu. Dawa yako iko jikoni inachemka.
 
Hivi bado una chuki tu? We changudoa ulishiriki kwa kiasi kikubwa kupanga njama za kumwua lissu. Dawa yako iko jikoni inachemka.
Jibu hoja wewe kwa nini hamjavaa barakoa na ku keep social distance wakati nyie ndie mlijitia Corona ipo kibao Tanzania? Walk the talk
 
Back
Top Bottom