Tumekuelewa wachache. Chadema wabarikiwe... hilo limaitwa vazi la ukombozi kaka! Linaleta furaha penye huzuni; linaleta amani palipo na vurugu; linaleta mwanga penye giza! Hilo vazi hata Shetani linamtesa.
Vikao vya ndani havina UPDATES , baada ya Kikao Katibu Mkuu atatoa taarifaMkuu leo hutoi live updates umepumzika au nafasi kachukua mtu..?
Wasitumbue tu macho yao...Kikao cha Kamati Kuu ya chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiendelea muda huu, ikiongozwa na Mh. Freeman Mbowe muda huu.
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama wakiwa ukumbini wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao hicho iliyotolewa na Mwenyekiti Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe.
View attachment 2152766
View attachment 2152754View attachment 2152755View attachment 2152756
View attachment 2152765
Covid19 inataka watu wavae barakoa na ku keep social distance wao wenyewe hawajavaa barakoa na ku ku keep social distance ndio unatarajia wake na masmuzi ya wabunge Covid19 hivi akili ziko sawa wewe? Utasubiri sana!!Wasitumbue tu macho yao...
Waje na maamuzi ya mwisho juu ya Covid-19!
Covid-19 unawajua kweli??Covid19 inataka watu wavae barakoa na ku keep social distance wao wenyewe hawajavaa barakoa na ku ku keep social distance ndio unatarajia wake na masmuzi ya wabunge Covid19 hivi akili ziko sawa wewe? Utasubiri sana!!
Covid19 naijua njia za kulinda ni pamoja na kuvaa barakoa na Social distance kamati kuu hawajazingatiaCovid-19 unawajua kweli??
GPO kaka...!! acha kabisa.Polisi hawajaja kuzuia?
Mnakosea sana, vile viwanja sio vya ccm ni vyetu. Ccm hakijawahi kujenga kiwanja chochote cha mpira wala hata ofisi hawajawahi kujenga vyote wanavyotumia ni vya wananchi. Take that please.Relax mkuu utakufa na presha, chama ni watu sio majengo!ccm hadi leo wale maadui bado wametamalaki after more than 60yrs ya utawala went,ujinga umasikini na maradhi na rushwa ndio catalyst yenu,fufueni kwanza vile viwanja vya mpira wa miguu kuanzia majimaji hadi kirumba
Ukombozi hewa.... hilo limaitwa vazi la ukombozi kaka! Linaleta furaha penye huzuni; linaleta amani palipo na vurugu; linaleta mwanga penye giza! Hilo vazi hata Shetani linamtesa.
Wakati ule Mbowe aliona bora CDM ichafuke ili tu chama kipate pesa za Lowassakatika ukumbi huo ndiyo zilitoka picha lowasa akiwa ndani ya kamati kuu pasipo kuwa amejisafisha.
Je huko nyumbani alikorudi kaja na pesa??Wakati ule Mbowe aliona bora CDM ichafuke ili tu chama kipate pesa za Lowassa
Hakuna ulichojibu zaidi ya ku divert!Kwa kuweweseka huko nadhani unahitaji msada wa vidonge ili kupata usingizi.
- Numerous studies have found that insufficient sleep increases a person's risk of developing serious medical conditions, including obesity, diabetes, and cardiovascular disease.
- Lack of adequate sleep over time has been associated with a shortened lifespan.
Hivi bado una chuki tu? We changudoa ulishiriki kwa kiasi kikubwa kupanga njama za kumwua lissu. Dawa yako iko jikoni inachemka.Magazeti Kesho heading kuu ukurasa wa mbele iwe Chadema wakaa kikao cha kamati kuu bila kuvaa barakoa wala social distance pamoja na kuwa ni waumini wakubwa waumini Corona ipo
Halafu iwekwe picha ya kikao
Jibu hoja wewe kwa nini hamjavaa barakoa na ku keep social distance wakati nyie ndie mlijitia Corona ipo kibao Tanzania? Walk the talkHivi bado una chuki tu? We changudoa ulishiriki kwa kiasi kikubwa kupanga njama za kumwua lissu. Dawa yako iko jikoni inachemka.
Nakueleza hivi, damu ya Lissu utailipia.Jibu hoja wewe kwa nini hamjavaa barakoa na ku keep social distance wakati nyie ndie mlijitia Corona ipo kibao Tanzania? Walk the talk