Elections 2010 Yanayojiri kwenye kampeni za CCM Mwanza

AMECHOKA..angalia kiatu alichovaa kwa ajili ya kuongeza stability jukwaani


dduuu mzee anaonekana amechoka hata machoni ,usoni, na anavyoteembea...utafikiri ametoka kutundukiwa drip ya diarrhoea...du!!..muheshimiwa anazeeka ghafla waakati hatuoni ..kinachomzeesha!!
 
Kwa msaada wa serekali ya marekani ulinzi wa askari wanamaji ziwa victoria utaimarishwa. Kuanzia mwakani no more majambazi mwanza

CCM bana!!! Kila kitu "kwa msaada wa serikali ya Marekani", sasa naona yamehamia kwenye ulinzi ziwa victoria, tuaanzishiwa kwenye vunja ukimya!!! Pamoja na kudai tumejikomboa sasa wametuanzishia huu ukoloni mambo leo, "hatuwezi bila wawekezaji..."

CCM is crap...
 
Acha uongo,
Jana niliangalia kuanzia alipoongea Katibu wa CCM mkoa Mwanza, Bilali, mpaka Raisi mwenyewe. Ilikuwa aibu tupu. Uwanja ulikuwa zii, utafikiri watu wamemwagiwa maji. Mpaka Pius Msekwa alikuwa anajisikia vihbaya, na mara nyingi alikuwa akijaribu kuanzisha makofi lakini wapi! Ukisema CCM hoyee, watu kimya! unasikia sauti za watu kama 20 hivi walio pale jukwaani.Bilali alijaribu kujitutumua wapi! Uwanja Zii! Kwa kweli CCM pale wameshajua, hawatakiwi. Alipoanza tu JK kuhutubia na takwimu za ajabu ajabu, watu wakaanza kutoka uwanjani.
Pale palijaa wanafunzi na walikuwa bored kichizi........ huu ndio ukweli wa CCM< Kirumba jana.
Watu wengi pale walifuata burudani ya muziki wa Bongo flava wa bure tuu. Hamasa ya mkutano wa kampeni haikuwepo kabisa ndio maana mtu akisema CCM oyee! kiitikio ni sauti za kuhesabu. Niliuona mkutano wa Slaa viwanja vya Furahisha akijitambulisha, mkutano ulikuwa na hamasa ya kutosha. Nadhani hamasa jana ilipotea kwa vile watu wameshachoka kudanganywa na "Sio mabwege tena"
 
Anasema nyanza imefirisika kwa sababu ya wezi hawa wezi walitoka wapi...anasema atawasaidi kulipa madeni daaaah yaani wezi uwasaidi kulipa deni kwanini usiwafunge....

Du hii mkuu ngumu sana, unaiba kisha Serikali inakusaidia Kulipa!!!!! mh....... Labda ilikuwa mshirika na huyo mwizi.
 
mi nakubaliana na wewe 95%,na nachelea kusema huenda safari nyingi nje ya nchi zina uhusiano na Afya yake.
 
2rmtc40.jpg


kikwete1.jpg

Umeanza kuleta picha za ki Yar'Aduwa na Kim Jong Il siyo?
 
Bila shaka DR. slaa anafaa kuwa Rais kama wapiga kura watakuwa Objective, na mimi naomba wawe hivyo sisiemu inatakiwa kuogopwa kama ukoma
 
JK kachoka mpaka wanaona aibu kutumia picha za sasa, Hivi kipindi anaanguka ilikuwa kwenye sherehe gani? nakumbuka ilikuwa inahusiana kanisa...
 
Nilitoka kuangalia mpira. Najaribu star tv nakuta kuna kampeni za CCM. Wasanii akina Flora Mbasha nao wametinga Mwanza. Sasa hivi anahutubia Bilal

s63uy8.jpg

ona minjemba yote inavitambi. unadhani wataacha kupigia kura ccm!
kweli jamaa huko hufuata mlo tu.
 
Back
Top Bottom