Join date Sunday August 2010.Bring them on!
Zipi? Bila mchanganuo atudanganya huyo!
Tunawatambua kwa kauli zao. AIBUTumpe kura za ndiyo,hao chadema wanaanzia kwenye maendeleo ya ccm. Hawana cha kutueleza walichokichangia kwenye kuendeleza jamii zaidi ya kuba documents
Kwani kuanguka bafuni ni ugonjwa, hapa tunaongelea afya mgogoro kama ya kikwete mwenye sijui kifafa, hivi wewe ukijikwaa na kuanguka utasema ni ugonjwa? elimu tu inakusumbua.Kwan slaa alipoangaka bafuni>?
Kwan uoni afya yake ilivyo imara?
Kuna wagombea wngine hawawe kuongea hata dak19
lkn ameisha sema kuwa ni swaumu sasa unataka nini
Mwanza imemkubali
Anaondoka Jukwaani baada ya kutoa ahadi ya ziada ambayo haipo katika Ilani . . . nadhani ni barabara
Kwanza SUPERMAN nikushukuru sana kwa kuwaupdate wana JF kwa hii post niliyoianzisha. WajanJF wamepata updates ambazo ni za moto moto.
Nilitimkia kwingine si unajua tena mambo ya mjini. Asante sana ndugu. Leo JK yuko wapi vile?
Kwan slaa alipoangaka bafuni>?
Unatuwekea picha za maktaba jana hakuvaa suti, angalia picha ya jana anapepesuka
Na yale ya GX V8 yaliyojaa maofisi ya serikali ni baiskeli zile, na kilimo kwanza au kilio kwanza kwa wakulima? Maana mfuko wa mbolea laki na mifugo ndio kwanza hulisha hayo mashamba ya wakulima kwa rushwa iliyojaa serikalini.Kaka mkuu bado anatusanii tu hamna lolote hapo.Kilimo . . . tutoke jembe la mkono twende kwenye matrekta. serikali imejizuia kununua magari for 2 years. Matrkta 3000 yameagizwa
lkn ameisha sema kuwa ni swaumu sasa unataka nini
Mwanza imemkubali
Wewe hukuwepo juzi akipochanganya madesa, akauliza hivi niliishia wapi alisahau kama yuko jangwani hebu mwangalie hapa kama unadhani rais wako ni mzima http://www.youtube.com/v/0S2AE3xXR-...xd0d0d0&hl=en_US&feature=player_embedded&fs=1