Wazee wazee wazeee, ni wakati anauliza swali la nyongeza bungeni leo, ameishauri serikali ianzishe wizara ya kushughulika na wazee katika mambo muhimu kama; matibabu, chakula, malazi hasa wale ambao hawana pension. Aidha katika michango yake ya leo ameongea vizuri sana pale anapowashauri watu wawe na uzalendo na taifa lao na waache kupost vitu vya ajabu kwenye mitandao.
Hongera sana mama! Watakuwa wamekuelewa wale wenye tabia hizo.
Hongera sana mama! Watakuwa wamekuelewa wale wenye tabia hizo.