Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

Yanayojiri bungeni Dodoma leo 08 Julai 2015

Fede Masolwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
529
Reaction score
123
Habari wakuu,

Leo Umewasilishwa Muswada wa Sheria ya tume ya Waalimu wa mwaka 2015. Muswada huu utasoma na Waziri wa Elimu na Ufundi kwa niaba ya Waziri Mkuu

Bunge hili linatalajiwa kuhitimiswa hapo kesho.

Nimeshangaa kumuona Mh. Leticia Nyerere Mbunge huyu wa Viti Maalumu wa CHADEMA,

Kulikoni wakuu? Kwani amejitoa CHADEMA tayali? na tena kauliza swali la nyongeza. Mwenyekiti wa UKAWA alitangazia Umma kwamba UKAWA watalisusia bunge. Sielewielewi.
 
Hivi nae ni mtoto wa hayati baba wa Taifa?
 
Kwani wabunge wa Ukawa wana mgomo wa kutoingia vikao vya bunge?nachojua mimi ni kuwa hao ambao hawapo wamesimamishwa na kwa vikao vitano sasa kama leticia hajasimamishwa kwann asihudhurie?
Napita tu
 
Hvi mbona chadema inakimbiwa namna hiyo?
 
Aliolewa na mtoto wa Nyerere aitwae madaraka nyerere lakini ndoa ilishavunjika kwa sababu alikuwa hajatulia.

Angeliacha hilo jina sasa atumie LA mzazi wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom