Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Hembu nimsikilize membe kichwa huyu sijui tundu hajaeleweka ameharisha tu hapa
 
Lisu amehoji yafuatayo:
1. Utakatifu wa mwl. Nyerere mpaka asikosolewe.
2. Uhalali wa hati ya makubaliano ya Muungano na sahihi zilizopo.
3. Mkanganyiko wa katiba ya Zanzibar na Tanzania.
 
TUNATAKA TANGANYIKA YETU, Serikali mbili ni zipi? Zanzinar + ???= TANZANIA?
Kama ni gharama mbona mnatuibia wazi na kupeleka uswizi? MSITUZINGUE, Come back TANGANYIKA
 
Tundu lissu anasitiza hati haipo na sio halali,na leo kikwete sio mkuu wa nchi ya znz,wala sio mkuu wa majeshi ya znz,na kutakuwa na mzanzibar sio mtanzania kwa mujibu wa katiba ya zanzibar hata kiprotokali kwenye sherehe za mapinduzi kikwete anapanga foleni kuingia uwanjani,dk sheni anapigiwa mizinga bila kufanya masahihisho sasa mpele ni giza na vita na watakaoanzisha vita ni hawa ambao wanajidai hawaoni haya
 
Dear JF Members,

Let us ask ourselves a simple but tough questions,

Is the union between Tanganyika and Zanzibar popular today as it had been before?

Provide your positions with some concrete example supported by authorities,

Hope to bring light to young generations,

Does the young generation knows how the union was formed,how the founders met,with what objectives,

With regards,

Elisante Yona

There is no union rather than dictatorship. if zanzibar has stand with its full stength what is wrong with Tanganyika? where is tanganyika?

What is the beneft of UNION to us? What is behind the curtain? lets find out....
 
Membe:Muungano wetu umeipatia sifa nyingi nchi yetu na Jibu pekee ni kuwa na Serikali 2 yenye mabadiliko ya kimaendeleo
 
tundu lissu anasitiza hati haipo na sio halali,na leo kikwete sio mkuu wa nchi ya znz,wala sio mkuu wa majeshi ya znz,na kutakuwa na mzanzibar sio mtanzania kwa mujibu wa katiba ya zanzibar hata kiprotokali kwenye sherehe za mapinduzi kikwete anapanga foleni kuingia uwanjani,dk sheni anapigiwa mizinga bila kufanya masahihisho sasa mpele ni giza na vita na watakaoanzisha vita ni hawa ambao wanajidai hawaoni haya

sio kila mwenye macho anaona mkuu
 
Lisu amehoji yafuatayo:
1. Utakatifu wa mwl. Nyerere mpaka asikosolewe.
2. Uhalali wa hati ya makubaliano ya Muungano na sahihi zilizopo.
3. Mkanganyiko wa katiba ya Zanzibar na Tanzania.

Hapa katibu mkuu kiongozi anahemea juu juu wakati jey akiandaa vijihoja vya kutokea. Bwana wee watakimbizwa hadi watakaa wenyewe.
 
Nimekuwa nikifuatilia bunge toka mwanzo na nikifuatilia hoja na michango mbali mbali kutoka vyama mbalimbali ya wachangiaji kutoka pande zote ,,na nilicho gundua ni kwamba wachangiaji wengi wa ccm hawana hoja zaidi ya mipasho na kejeli maneno ya kimbea kimbea ,ushakunanku bila hoja,unakuta mtu kasimama mwanzo hadi mwisho ni mipasho tuu, na anapigiwa makofi na vigerere lakini ni mopasho tuuubila hoja za msingi kutetea hoja zao.. Lakini CHADEMA wamekuwa wakijitahidi kujibu hoja kisomi na kitaalami kwa vigezo na envidance na maandishi mbali mbali ambazo zimekuwa mikuki kwa ccm sababu kila anacho kisema hatoi kichwani kawajibu mambo yote kutoka kwenye katiba ya zanzibar ambayo haimtambui raisi wa tanganyika.
 
Membe sasa,anaongea kama Mama Salma,taratibu akiamini ana hoja kumbe hola,eti Mwisho atamjibu Lisu,Lisu hajibiwa,anaungwa mkono
 
Membe kajichefua na kujinyea hapa anagunaguna tu hapa.
Huyu sidhani kama ataweza kuwa raisi wa Tanganyika.
 
Back
Top Bottom