Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
leticia nyerera ni mwanamke jasiri sana, sio msukule kama halima
Amekuwa jasiri kwa vile ana taka kurudi CCM angekuwa ana kuja ACT ungemuita nani?.
leticia nyerera ni mwanamke jasiri sana, sio msukule kama halima
Mimi ni mkazi wa tabora, siku ya leo nimeona mbunge wa viti maalumu tabora mjini bi munde akichangia bungen na maneno yake siyo wa kweli, hata kama kusifia ili wakubwa zako wakuone basi sifia ya kweli. Badilika
Great mind discuss issues, small mind discuss people....niko mashambani lakini pia niko na wewe msomi uchwara hapa mtandaoni. Hushangai? Na ma PhD yako fekiAisee kumbe uko mashambani..........no wonder!
Samahanini hivi halima ameolewa?
guy, i adviced you to go back to school.Aisee kumbe uko mashambani..........no wonder!
Great minds discusses issues, small minds discusses people......
cc
safari ni safari
Umeulizwa umeolewa?? Jibu swali ndipo nawe uulize swaliMama yako ameolewa?
As engineers we never mind spelling...pole sana english medium student unaejua english ila hujui issues...With slight literal corrections MR GREAT MIND.....Hows farming?
U went for theoretical learning, then u missed practical education...u live in hipothetical/ imaginary world ndio mana pamoja na PhD yako huna kazi ya kufanya unaishia kupopolewa mawe na mkulima wa mashambani apa..shame upon you...na kizazi chako!!!Which school after LSE?
Naona mmeamua kulipuanaWith slight literal corrections MR GREAT MIND.....Hows farming?
Mkuu kumetokea nini mbona mnararuana?U went for theoretical learning, then u missed practical education...u live in hipothetical/ imaginary world ndio mana pamoja na PhD yako huna kazi ya kufanya unaishia kupopolewa mawe na mkulima wa mashambani apa..shame upon you...na kizazi chako!!!