wabungenjaa
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,782
- 337
- Thread starter
- #61
Menrad ligola anashauri kuondoa misamaha ya kodi kwa makampuni makubwa.
===anahoji inakuwaje wawekezaji wanasamehewa kodi?? Wakati wamekuja kuchuma
===waziri wa maji anaitwa haraka sana na wananchi wa jimbo la mufindi kusini, watu wa kule wana shida kubwa sana ya maji
===anahoji inakuwaje wawekezaji wanasamehewa kodi?? Wakati wamekuja kuchuma
===waziri wa maji anaitwa haraka sana na wananchi wa jimbo la mufindi kusini, watu wa kule wana shida kubwa sana ya maji