Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 15 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

Mtu asiyekunywa gongo hawezi kuja hapa na kumsema mwanaume kuwa hajaoa. Huyu mama anasema Jussa hajaoa tumefanya utafiti tukagundua kumbe hata yeye hana mume. Tukataka tumpe kijana mmoja amshughulikie (maana dini yetu inaruhusu kijana kumuoa mama mtu mzima ili kupata sunna), lakini tukaelezwa kuwa huyu mama, babake Jussa aliwahi kupata usingizi kwake kwa muda mrefu sana, kisha akamuacha....."

Haya ni maneno ya mjumbe mmoja kutoka Zanzibar aliyemaliza kuongea muda mfupi uliopita. Duuh, bunge la Katiba limegeuka bunge la mipasho.!

duh! wenzetu wa ng'ambo ya pili wana maneno kweli!!! nimekaa najiuliza hivi kwenye vikao vya BLW huwa inakuwaje humo ndani
 
Jesca msambatavangu anasema:
Ntajikita kwenye kero za muungano. malalamiko yaliyo mengi ni kwamba tumechukua mambo ya muungano na tumeyachukua kuwa ya kwetu ndo maana Zanzibar wanalalamika. Sasa tuandike katiba mpya kwa upendo na hekima. Orodha ya mambo ya muungano iliyo elezwa wakati wa muungano yanaendelea kuongezeka kula siku. Tuache kuongea maneno ya wanaume waliyo tangulia bali tuongee maneno yetu sio fulani alisema hivi.

Kama tunasema orodha ya muungano yatakua saba tupamge sisi hakika tutalidhiana. Mimi naunga mkono serikali mbili lakini inaonekana tumeimeza zanzibar. Mimi naomba swala la muundo. Rais wa zanzibar abaki kuwa ni makamu wa rais wa Muungano na rais wa muungano aendelee kuwa rais wa Tanzania bara. zikiwa serikali tatu halafu hizo serikali tatu zikazembea kuwalisha haya majeshi ya serikali tatu haya majeshi yatatugeuka.

Hoja ya gharama. Unaposema serikali ya tatu haina gharama ni uongo usio pingika.

Hati ya muungano. ukiona mtu anazungumzia maswali ya hati ya ndoa jua kuna mawili eidha kapta mtu mwingine anataka kwenda mahakamani kuvunja ndoa. muogope sana.
 
Nilikuwa sioni umuhimu wa hilo Bunge la Katiba maana naona kwa sasa haijadiliwi rasimu hiyo bali mipasho tuu...!
 
ma CCM bahana si ndio vitu vinapangwa...na hivyo wanayodhani kuwa ni zuio la muungano wa serikali 3 ni vitu wanavyotakiwa sema viwekwe...
 
Hawa machangu wa CCM hawajui kuwa sasa hivi ndio wanatakiwa waipe serikali kuu vitu vyake na mapato yake ....km leo manispaa zina mapato yake...kodi ya nchi ina kodi za Serikali kuu na kodi za mamlaka husika.Hata barabara zipo za Taifa, zipo za east africa, etc kwaninizisiwepo za serikali kuu?Serikali kuu itakopa kwa miradi ya serikali kuu...

Wamama wengi wa ccm ni mashangingi kichwani weupe sana
 
Ndiyo maana hujitambui kama ambavyo hajitambui sugu kwenye mipango yake ulishawahi kuona wapi mbunge kila akisimama anatukana na kulapu bila hata hoja.

Kweli kabisa nakubali sijitambui kwa mujibu wa mawazo yako mgando ila kwa mujibu wa haki ni kweli kabisa wewe unajitambua kwa kua na mawazo mazuri ya bi asha ambaye kwa mujibu wa hansards za bunge maalum aliwahi kupumzikiwa na baba yake Jussa. Halafu una tabasamu zuri sana mrembo wetu endelea na kujikwatua ila na akili yako ikwatue. Sikudhamiria kukujibu ila nimelazimika kwa sababu ya kiherehere chako, chunga sana adabu yako.
 
Msambatavangu: tujenge muunfano ambapo hakuna upande umeweka mamlaka yote ktk muungano au isiyoachia mamlaka
 
hawa kenge wa CCM hawajui kuwa hata kuuza silaha tuu kuwanweza fanya nchi tajiri na inayojitegemea...kuuza silaha ni kazi ya serikali kuu.

Tangu lini maroboti yakawa na utashi wa kujua haya, unayaonea bure.
 
Msambatavangu simwelewi kabisa logiv yake anasema serikali 2.. tutafumua mfumo wa s2 tuongeze mabunge yawe
 
Msambatavangu: tujenge muunfano ambapo hakuna upande umeweka mamlaka yote ktk muungano au isiyoachia mamlaka
Sasa serikali mbili utasemaje hakuna upande ambao haujaweka mamlaka yote kwenye serikali ya muungano? Tanganyika mamlaka yao yanakaa wapi?
 
ABdallah anasema:
mimi na wananchi wangu tunaunga mkono serikali tatu. lengo kuu ni kuondosha utata uliopo wa kikatiba. Msomaji wa maoni ya walio wengi alisema;
Marekebisho ya walio wengi yakipita zanzibar itabidi ilekebishe katiba yake. nlivosikia hivo nikaogopa. nikajiuliza kama hoja hiyo ikienda kwa wananchi ili mipigiwe kura watakataa.

wanasema zanzibar imeruhusiwa kujiunga na OIC ni uongo. sisi ndugu zenu mbona hatujui? hadi leo hakuna fedha iliyopatikana toka zanzibar kwenda bank kuu.

Njia pekee ya kuondokana na hili tatizo ni muundo wa serikali tatu. hizi pesa za zanzibar kila siku wanakokotoa zimekua kokoto hadi zisiletwe? zimekua kama balali au ndege ya maleysia. hazionekani.
 
Mkuu angalia unapojibu utajikuta unanasa kwenye mitego midogo tu kama jakaya alivyonasa kwenye mtego wa wananchi kupitia Lissu. Nikuachie hapo najua umenielewa ila siku zote mi ni mdau sana wa Sugu tangu alipoanza harakati kupitia "mikononi mwa polisi". Naomba unitenganishe na yale maroboti ya kidumu chama cha...naona umenipata sasa. Mambo vipi lakini, uko poa? Karibu.
haya mkuu...mimi wewe km up upande wake au hata wa hoja yake ungeweka tuu namkubali...haha nimecheka sana..MAROBOTI....haha siku hizi wazungu maroboti yao yanatakiwa yawe reactive na aware na mazingira yao.Kwa hiyo....nayo si y akufuata fuata tuu...
 
Hebu dadavuwa, mimi hapa nilipo Tanesco wameshafanya mambo yao.
Si naye kaweka uprof wake rehan tena ili kuikoa CCM...eti waliosema serikali 3 hawajaangalia mambo muhimu kiuchumi na hivyo haiwezekani...km alivyofanya uchaguzi mkuu..kwa kigezo cha udini JK asiondoke.Sasa hivi CCM ndio wanamtumia km reference na kumsifia kwanza km nguli,
 
haha SUGU kaua....eti umuulize wasira DAMU YAKE ITOLEWE YOTE IPIMWE MALARIA AU NGOMA.....nadhani wasira ataruka mbaya
 
haya mkuu...mimi wewe km up upande wake au hata wa hoja yake ungeweka tuu namkubali...haha nimecheka sana..MAROBOTI....haha siku hizi wazungu maroboti yao yanatakiwa yawe reactive na aware na mazingira yao.Kwa hiyo....nayo si y akufuata fuata tuu...

Haya mkuu kwa ruhusa yako naomba kifungu kilichotangulia kwenye bandiko langu la awali kifutwe na badala yake kiandikwe upya na sasa kisomeke, "mimi Skype namkubali sana mheshimiwa Joseph Mbilinyi". Nawasilisha.
 
JWsca msambatavangu anasema:
Ntajikita kwenye kero za muungano. malalamiko yaliyo mengi ni kwamba tumechukua mambo ya muungano na tumeyachukua kuwa ya kwetu ndo maana Zanzibar wanalalamika. Sasa tuandike katiba mpya kwa upendo na hekima. Orodha ya mambo ya muungano iliyo elezwa wakati wa muungano yanaendelea kuongezeka kula siku. Tuache kuongea maneno ya wanaume waliyo tangulia bali tuongee maneno yetu sio fulani alisema hivi.

Kama tunasema orodha ya muungano yatakua saba tupamge sisi hakika tutalidhiana. Mimi naunga mkono serikali mbili lakini inaonekana tumeimeza zanzibar. Mimi naomba swala la muundo. Rais wa zanzibar abaki kuwa ni makamu wa rais wa Muungano na rais wa muungano aendelee kuwa rais wa Tanzania bara. zikiwa serikali tatu halafu hizo serikali tatu zikazembea kuwalisha haya majeshi ya serikali tatu haya majeshi yatatugeuka.

Hoja ya gharama. Unaposema serikali ya tatu haina gharama ni uongo usio pingika.

Hati ya muungano. ukiona mtu anazungumzia maswali ya hati ya ndoa jua kuna mawili eidha kapta mtu mwingine anataka kwenda mahakamani kuvunja ndoa. muogope sana.

Huyo mama Jeska ashaolewa na kuachika mara mbili, kwa hiyo kuongelea hati ya muungano lazima atahusisha na ndoa Tu. Tanganyika ndio njia kuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom