kibaya-kenya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 649
- 165
KAKA HAWA WAHUNI MWISHO WAO UMEFIKA HATA NAO WASIPO RUSHWA cc tumeshapata, CCM NA WANACHAMA WAO NI ISHARA YA LAANA KWA HILI TAIFA.
Napenda kutoa wito kwa vituo hivyo viwili kurudia hotuba mh.Tundu Lissu alioitoa bungeni ambayo kwa bahati mbaya ilikatika kwa kile kilichielezwa na TBC 1 kuwa kimetokana matatizo ya kiufundi na si vinginevyo.
Ukweli wa maelezo ya TBC wanaujua wenyewe kwani mwenendo wao ni wa mashaka.
Nawaomba wamiliki wa vituo hivyo muwe wazalendo na kuweka mbele maslahi ya taifa.
Mods naomba msiunganishe huu uzi kwani mh.Lissu alikuwa anafanya kile kinachoitwa "kukata mzizi wa fitina" kwa faida ya umma hasa kuhusu uhalali wa hati ya muungano.