Buldoza
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 2,306
- 980
Hii TBC si inaendeshwa na kodi zetu, kwa nini watufanyie haya? Kama ni tatizo la mitambo kwa nini itokee tu pale kwenye mawazo tofauti na 'waliowengi' CCM?
Na kwanini aweke hotuba ya kikwete sehemu anayopinga serikali 3?