suleym
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,960
- 1,205
Ee bana eeh!!!!
Nitasafiri kwa teksi kweli toka Mtwara hadi Mwanza kwa hali hii?
Ngoja nimpigie simu mzee Pombe Magufuli!
Hakuna wazir mwongo km magufur amekalia kukariri km za barabara toka mwaka 2010 napita hii barabara hakuna mabadiliko, utamsikia nimempa miez sita mkandaras amalize inakwisha cha mana hakuna. huyu kwangu ni mpiga kelele 2 hafai. wanawalaza njiani wa2 kila wakati.