Yanayoendelea Taliban, Korea Kaskazini kuna uhuru

Yanayoendelea Taliban, Korea Kaskazini kuna uhuru

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,717
Reaction score
13,439
Chini ya sheria mpya, sauti za wanawake pia zinachukuliwa kuwa ni uovu zinaposikika hadharani. Sheria inasema, “wakati wowote mwanamke mtu mzima anapoondoka nyumbani kwake kwa jambo la lazima, analazimika kuficha sauti, uso na mwili wake.”

Hawa jamaa wavaa kobazi wangeshika dola Duniani kusingekalika
 
Chini ya sheria mpya, sauti za wanawake pia zinachukuliwa kuwa ni uovu zinaposikika hadharani. Sheria inasema, “wakati wowote mwanamke mtu mzima anapoondoka nyumbani kwake kwa jambo la lazima, analazimika kuficha sauti, uso na mwili wake.”

Hawa jamaa wavaa kobazi wangeshika dola Duniani kusingekalika
Wamepewa na nyongeza ya sheria.Kuongozana na mwanaume.Na afikapo eneo husika,hapaswi kufungua kinywa chake kutamka lolote.Kuongea ni kazi ya mwanaume aliyemuongoza hata kama ni mtoto.
 
Huo ndio utaratibu hutakuta mtalebani analia eti single Maza ananitesa mwanaume ndio anatakiwa kuwa juu tuache ujinga kadri mnavowapa nguvu ndio jinsi tunavyoangamia angalia jinsi wacheza mpira wanavyolizwa na wanawake Mungu hakukosea wale ni rahisi sana kurubuniwa na shetani kisha dunia nzima ikaangamia talebani wako sawa tena zaidi ya sawa wanawake ni viumbe dhaifu mno. Uislam ndio njia sahihi ya wanawake kuishi duniani na si vinginevyo.

Emu tazama mfano hapa Tanzania kuna wanawake wanaandamana huko mitandaoni Kiboko ya wachawi arudishwe na upigaji wote waliokua wanafanyiwa kulipishwa mamilioni na anayeyalipa ni mwanaume utasumbuliwa weee mpaka utoe, hiki mnachokipinga na kukikejeli kwa talebani lakini wao wanalinda vijana wao na vizazi vijavyo mtakuja kuelewa kwa maumivu baadae
 
Wamepewa na nyongeza ya sheria.Kuongozana na mwanaume.Na afikapo eneo husika,hapaswi kufungua kinywa chake kutamka lolote.Kuongea ni kazi ya mwanaume aliyemuongoza hata kama ni mtoto.
Profesa wa kike kutoka huko anaongozwa na kakijana ka 9yrs kana full say hadharani! Profesa anatakiwa anyamaze kimya kavulana kaongee na kuwakilisha! Noma sana.
 
Chini ya sheria mpya, sauti za wanawake pia zinachukuliwa kuwa ni uovu zinaposikika hadharani. Sheria inasema, “wakati wowote mwanamke mtu mzima anapoondoka nyumbani kwake kwa jambo la lazima, analazimika kuficha sauti, uso na mwili wake.”

Hawa jamaa wavaa kobazi wangeshika dola Duniani kusingekalika
 
Huo ndio utaratibu hutakuta mtalebani analia eti single Maza ananitesa mwanaume ndio anatakiwa kuwa juu tuache ujinga kadri mnavowapa nguvu ndio jinsi tunavyoangamia angalia jinsi wacheza mpira wanavyolizwa na wanawake Mungu hakukosea wale ni rahisi sana kurubuniwa na shetani kisha dunia nzima ikaangamia talebani wako sawa tena zaidi ya sawa wanawake ni viumbe dhaifu mno. Uislam ndio njia sahihi ya wanawake kuishi duniani na si vinginevyo.

Emu tazama mfano hapa Tanzania kuna wanawake wanaandamana huko mitandaoni Kiboko ya wachawi arudishwe na upigaji wote waliokua wanafanyiwa kulipishwa mamilioni na anayeyalipa ni mwanaume utasumbuliwa weee mpaka utoe, hiki mnachokipinga na kukikejeli kwa talebani lakini wao wanalinda vijana wao na vizazi vijavyo mtakuja kuelewa kwa maumivu baadae
Kwa kweli nimekuunga mkono kabisa una hoja usikilizwe hawa ndugu zetu tulipowapa nafasi kidogo tu hakuna rangi tumeacha kuona ni valu valu

Mwanamke ndani ukiongea nae pyee pyee pyeee kama mwanaume kweli niguse
Sasa huko Taliban ingawa wamezidi shenzi zao ila mawazo yao sio mabaya sana
 
Chini ya sheria mpya, sauti za wanawake pia zinachukuliwa kuwa ni uovu zinaposikika hadharani. Sheria inasema, “wakati wowote mwanamke mtu mzima anapoondoka nyumbani kwake kwa jambo la lazima, analazimika kuficha sauti, uso na mwili wake.”

Hawa jamaa wavaa kobazi wangeshika dola Duniani kusingekalika
Dini inaondoa akili kabisa. Leo kaja dada dukani kabeba mtoto mgongoni halafu kajifunikiza zile nguo hata hewa hazipitishi. Tukamwambia acha upumbavu mvunue mtoto utamuua kwa kukosa hewa. Maskini katoto kalikua kamechoka kwa kukosa hewa. Halafu hapo eti mtu anasema anafuata amri za Mungu.
 
Kama wameamua wao wenyewe waachwe wafanye watakavyo, nchi ni Yao hatuwasaidii hata pesa ya kununua mkate...
 
Chini ya sheria mpya, sauti za wanawake pia zinachukuliwa kuwa ni uovu zinaposikika hadharani. Sheria inasema, “wakati wowote mwanamke mtu mzima anapoondoka nyumbani kwake kwa jambo la lazima, analazimika kuficha sauti, uso na mwili wake.”

Hawa jamaa wavaa kobazi wangeshika dola Duniani kusingekalika
Hawawez daima kuishika dunia. Na hata hao muda unahesabika. Sio kwamba hawawaziwi. Bali wakati sahihi wa kuwafumua haujawadia. Wanaliwa timing
 
Chini ya sheria mpya, sauti za wanawake pia zinachukuliwa kuwa ni uovu zinaposikika hadharani. Sheria inasema, “wakati wowote mwanamke mtu mzima anapoondoka nyumbani kwake kwa jambo la lazima, analazimika kuficha sauti, uso na mwili wake.”

Hawa jamaa wavaa kobazi wangeshika dola Duniani kusingekalika
Taliban wanafanya hayo kwa matakwa yao wala haihusiani na dini na wala dini haiendi hivyo wanavyofanya Taliban.
Pakistan ni islamic state ila mbona hayo huyaoni?
Qatar,Saudi arabia,Oman,Kuwait zote hizo ni Islamic state ila mbona hayo huyaoni na wanawake wanaishi kwa uhuru wanaostahiki!??
Msipende kuongea kauli jumuishi kenge nyie.
 
Taliban wanafanya hayo kwa matakwa yao wala haihusiani na dini na wala dini haiendi hivyo wanavyofanya Taliban.
Pakistan ni islamic state ila mbona hayo huyaoni?
Qatar,Saudi arabia,Oman,Kuwait zote hizo ni Islamic state ila mbona hayo huyaoni na wanawake wanaishi kwa uhuru wanaostahiki!??
Msipende kuongea kauli jumuishi kenge nyie.
Kwani wao wenyewe talban wanasemaje kuhusu hili..?
 
Dini inaondoa akili kabisa. Leo kaja dada dukani kabeba mtoto mgongoni halafu kajifunikiza zile nguo hata hewa hazipitishi. Tukamwambia acha upumbavu mvunue mtoto utamuua kwa kukosa hewa. Maskini katoto kalikua kamechoka kwa kukosa hewa. Halafu hapo eti mtu anasema anafuata amri za Mungu.
We nani kakudanganya kumfunika mtoto hivyo anakosa hewa?
Je ile nguo haina upenyo wa kupitisha hewa??
Sayansi ya wapi hiyo ambayo unatudanganya hapa kuwa mtoto akifunikwa uso mzima anakosa hewa??
Unatuchukulia sasa mafala au sio?
Pang'ang'a maji wewe.
 
Back
Top Bottom