LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,717
- 13,439
Chini ya sheria mpya, sauti za wanawake pia zinachukuliwa kuwa ni uovu zinaposikika hadharani. Sheria inasema, “wakati wowote mwanamke mtu mzima anapoondoka nyumbani kwake kwa jambo la lazima, analazimika kuficha sauti, uso na mwili wake.”
Hawa jamaa wavaa kobazi wangeshika dola Duniani kusingekalika
Hawa jamaa wavaa kobazi wangeshika dola Duniani kusingekalika