Yanayoendelea Taliban, Korea Kaskazini kuna uhuru

Yanayoendelea Taliban, Korea Kaskazini kuna uhuru

Chini ya sheria mpya, sauti za wanawake pia zinachukuliwa kuwa ni uovu zinaposikika hadharani. Sheria inasema, “wakati wowote mwanamke mtu mzima anapoondoka nyumbani kwake kwa jambo la lazima, analazimika kuficha sauti, uso na mwili wake.”

Hawa jamaa wavaa kobazi wangeshika dola Duniani kusingekalika
Shida ni kobazi au shida ni taliban? Maana kama ni kobazi mbona zipo sehwmu nyingi
 
Uislam ni mila na desituri za waarabu na si vinginevyo
Uislam na uarabu haviendani.
Ndio maana hata mtume Muhammad alipokuja alivunja mila za waarabu na waarabu wenzake walianza kumpinga na kumchukia kwasababu ya mila zao kupingwa.
Uislam huo upo Bosnia,Albania,Azerbaijan na watu wanaishi raha mustarehe.
Msichanganye uislam na uarabu.
 
Wao wanasema wanafuata misingi ya sharia
Na misingi ya uislam haipo hivyo.
Embu nenda Suadi Arabia,Qatar,Oman,Pakistan,Albania zote nchi za kiislam na mbona hawafanyi kama Taliban!??
Misingi ya uislam haiendani na Taliban wanachofanya.
 
Huo ndio utaratibu hutakuta mtalebani analia eti single Maza ananitesa mwanaume ndio anatakiwa kuwa juu tuache ujinga kadri mnavowapa nguvu ndio jinsi tunavyoangamia angalia jinsi wacheza mpira wanavyolizwa na wanawake Mungu hakukosea wale ni rahisi sana kurubuniwa na shetani kisha dunia nzima ikaangamia talebani wako sawa tena zaidi ya sawa wanawake ni viumbe dhaifu mno. Uislam ndio njia sahihi ya wanawake kuishi duniani na si vinginevyo.

Emu tazama mfano hapa Tanzania kuna wanawake wanaandamana huko mitandaoni Kiboko ya wachawi arudishwe na upigaji wote waliokua wanafanyiwa kulipishwa mamilioni na anayeyalipa ni mwanaume utasumbuliwa weee mpaka utoe, hiki mnachokipinga na kukikejeli kwa talebani lakini wao wanalinda vijana wao na vizazi vijavyo mtakuja kuelewa kwa maumivu baadae
Kwa hiyo Rais wetu kwa Wataleban asingeweza kuwa rais?
 
Na misingi ya uislam haipo hivyo.
Embu nenda Suadi Arabia,Qatar,Oman,Pakistan,Albania zote nchi za kiislam na mbona hawafanyi kama Taliban!??
Misingi ya uislam haiendani na Taliban wanachofanya.
Talban tuseme wana ule upuuzi wa kidini. Hawaja staarabika
 
Taliban sio reference ya uislam.
Reference ya uislam ni Qur'an na sunnah.
Daaah! Ila inafikilisha sana....why Islamic jihad? Ni utashi wa Allah kweli kuwepo hivi vikundi vyenye silaha za moto vya kumpambania yeye?
 
Na misingi ya uislam haipo hivyo.
Embu nenda Suadi Arabia,Qatar,Oman,Pakistan,Albania zote nchi za kiislam na mbona hawafanyi kama Taliban!??
Misingi ya uislam haiendani na Taliban wanachofanya.
Huku street hizo nchi unazozitaja wanasema hao unaowataja hawafati misingi. Ukweli upoje mkuu?
 
Daaah! Ila inafikilisha sana....why Islamic jihad? Ni utashi wa Allah kweli kuwepo hivi vikundi vyenye silaha za moto vya kumpambania yeye?
Embu jiulize uislam upo Afghanistan peke yake?
Mbona hausikii wanawake wa Saudi Arabia,Pakistan,Qatar,Albania,Bosnia wakilia na kulalamika!??
 
Huku street hizo nchi unazozitaja wanasema hao unaowataja hawafati misingi. Ukweli upoje mkuu?
😂😂😂😂😂Wanafuata sheria zote.
Tatizo
vijana wanajazwa itikadi na kupewa mafunzo ya dini kwa namna isiyo sahihi mwishowe hao hao wengine inakua rahisi kuwatumbukiza katika ugaidi.
Hizo nchi nilizotaja ndio mfano hai wa nchi za kiislam zinavyotakiwa kuwa.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Embu jiulize uislam upo Afghanistan peke yake?
Mbona hausikii wanawake wa Saudi Arabia,Pakistan,Qatar,Albania,Bosnia wakilia na kulalamika!??
Huko kwingine wamekataa kui entertain huo ujinga....and to be honest karibu wote waliokataa huo ujinga hawaviungi mkono vitundi vya wapiganaji wenye mlengo wa kidini kama Hezbollah, Houthi etc
 
Talban tuseme wana ule upuuzi wa kidini. Hawaja staarabika
Taliban wanachanganya mila na dini.
Wana mila zao kuwa mwanaume ni superior kwa mwanamke,sasa hii wanaileta katika dini.
Dini haiendeshwi hivyo.
 
Huko kwingine wamekataa kui entertain huo ujinga....and to be honest karibu wote waliokataa huo ujinga hawaviungi mkono vitundi vya wapiganaji wenye mlengo wa kidini kama Hezbollah, Houthi etc
Soma wamekataa ku entertain tu,bali wao hawachanganyi dini na mila.
Na wao ndio mfano bora wa islamic state.
Hizbollah na Houthi sio vikundi vya kupigania dini.
Ukishataja hivyo vikundi tunahama uwanda wa siasa mazima.
Houthi kilikua chama cha siasa kilichoundwa miaka ya 1990s wala sio kikundi cha jihad,Houth ni chama cha siasa ambacho kiliamua kushika bunduki ili kumtoa madarakani Mansour,ni sawa na Chadema washike silaha kuitoa CCM madarakani.
Hizbollah sio wapiganaji wa kiislam,kafuatilie historia ya hizbollah kwanini ilianzishwa,hadi wakristo walikuwepo humo ndani.
Na vita zote anazopigana hizbollah ni za kisiasa.
Kama unabisha nitajie vita ya kidini walizopigana hao watu nasubiri hapa.
 
Uislam ni mila na desituri za waarabu na si vinginevyo
Afaghanistan/Taleban ni nchi ya Kihindi ndugu zao ni Pakistan, India, Bangladesh, Sililanka, Myanimar, Bhutan, Leos, Indonesia, Malaysia na Singapore. Waharabu Asilia ni hao wanaokaa katika Jangwa la Arabia, ambao ni Saud, Oman, Yemen, UAE, Qatara, Quweit, Bahrain. Jordan, Syria, Lebanon, Iran, Turkey hawa sio waarabu ingawa ni Waislam. Pia usikalili ingawa wengi hawajui Africa( Misri, Libya, Tunisia, Morocco, Mauritania, Sudan Khatoum) hawa sio Waarabu ingawa ni Waislamu.
 
Sasa tunafanyaje ? Anavunja Sharia😅😅
Sharia kwa mujibu wa Taliban ila sio uislam.
Mbona Pakistan ni Islamic state na waliwahi kuwa na viongozi wanawake na hadi sasa wanachagua viongozi wanawake?
Mimi muislam ila Taliban siwakubali hata kidogo,wanatuletea taswira mbaya katika dini.
 
Back
Top Bottom