Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,170
- 138,422
Kwa bahati mbaya sana Nape hakuyaona hayo alipokua katika meza ya karamu ya bwana. Alizurura nchi nzima akimtukana Lowasa leo limegeukia kwake anajifanya mpenda maendeleo. Hatari sana unafiki hautamuacha mtuView attachment 594216
View attachment 594217
View attachment 594218
Katika ukurasa wake wa Insta Nape Nnauye ameandika haya. Pia ameweka picha akiwa na Lowasa akisema historia ni mwalimu mzuri.
Ujumbe mkubwa alioutoa Nape ni kusema " Ushetani huanzia pale unapowafanya watu kama vitu'
Nape haja poteza. Hivi uoga wa kuingiza siasa kwa watu ambao sio wanasiasa kama leo hii yote kuna watu wanaonyeshwa mimi niko hivi. Hata Ukanda ni sehemu ya kuhofia kwa hiyo tusubiri 2019 ndo tutaanza kutafutana humu ndani ndio maana na Mimi sitoki.Mmmhhh!!, ndio maana mimi sizipendi siasa, Maana Rafiki yako leo kwenye siasa aweza kuwa Adui yako kesho, na Adui yako leo, aweza kuwa rafiki yako kesho.