Yanayoendelea huko Libya

Yanayoendelea huko Libya

Na mzungu ni rahimu sana kama aliweza kukuchukueni kutoka makweni hadi Caribian island, ulaya na marekani.
Fungua macho na kaangalie series za maigizo inaiyokwenda kwa jina "THE ROOT" itafaham vyema unachokisema.
series ya maigizo na reality wapi na wapi mkuu
hata picha huoni?
 
Nendeni kwenye App Ya youtube kila kitu kiko huko

Mie nimetoka ku cheki ila MB zimeisha sasa nataka nkanunue nyngne ili kucheki kwa uhalisia nilichokuwa nafundishwa darasani sasa kinaonekana live kwenye karne hii ya 21
 
Nawapa pole sana waafrika wenzangu wanaoteseka Libya. Lakini wakome kuzamia meli kwenda ulaya
 
Unafiki utawamaliza vizazi kwa vizazi but why na sisi tusiwanunue wao waliopo huku kwetu?
 
Yah mi sishangai kwan walitaka wenywe labda liwe fundisho kwa nchi nyingine kuwa mkimpta mtetezi mlinden mpka tone lako mwisho la damu na sio kumsaliti na kushangilia.
 
Kwan wao walivyomsalit Gadaff waliwaza nn? Hayoo ndio mavuno?
Ukipanda haba utavuna haba!!!
hao mablacks ndio walimpindua ghadafi hebu soma vizuri mkuu
hao arabs wanafanya biashara ya kuuza watu weusi suala hili halingiliani na ghadafi
 
Walifurahia vijisenti vya muda hao wapuuzi acha wapate wanachostahili sasa!!...
 
Unafiki utawamaliza vizazi kwa vizazi but why na sisi tusiwanunue wao waliopo huku kwetu?
tuwanunue tuwapeleke wapi wakati wao ni weak(dhaifu) kuliko sisi....kwenye upande wa kufanya kazi ngumu mtu mweusi ni strong zaidi kuliko mtu mweupe ndo maana walikua wanachukuliwa huku Africa wanapelekwa marekani kwenda kufanya kazi hasa kilimo..tukiwanunua wazungu labda tuje wape kazi za ndani tu
 
Tena waanze na marekani maana waafrika tumezidi badala ya kubaki home kujenga Nchi yetu tunakimbilia huko waongezees
 
Kwan wao walivyomsalit Gadaff waliwaza nn? Hayoo ndio mavuno?
Ukipanda haba utavuna haba!!!
Mbona kama uko nje ya uhalisia maana wanaouzwa walimsaliti vipi gadafi wakati hao ni wasudan eritiria somalia na wanigeria
Wengi ni wakimbizi wanaochukuliwa kutoka kwenye makambi na wanaokamatwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom