Yanayoendelea huko Libya

Yanayoendelea huko Libya

lokomu

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
4,916
Reaction score
3,509
ab5d14636c851d14ff3007a113656782.jpg

c6aab67ee1fb169060e6b7c4aec0b917.jpg


cc310202369af7d0431d67dd743f8f4a.jpg

a3340a01aad618ff8b021cc069683125.jpg


2c5fbe6b6ae21826b0e2042e9c469854.jpg


0192e5ef39a0b6738fd65f1660fd7625.jpg


765958bb2eb990effc1c5977474c90f6.jpg

Mwenyezi Mungu walaani hawa watu wafanyayo haya
 
mkuu huko ni libya(kaskazini mwa afrika) na sio ulaya
Hao naskia wanakamatwaga baharini au wakiwa wameshavuka maji kuingia ulaya afu wanavushwa tena kuletwa Libya wanawekwa vizuizini ili warejeshwe kwenye nchi walizotokea. Sasa wakati wanaposubiri UN waje wawachukue ndo wanaendelea kufanyiwa shughuli kama hizo, ubakaji na mauaji na sasa hv wanauzwa kama nazi kuanzia dola 400 (Tsh 900,000) kwa mnada.
Acha yawakute. Wanakimbilia ulaya kulishajengwa badala wajenge makwao.
 
Hawa hawana akili,kinachowafanya waende huko ni ulaya,hivi ulaya ni paradiso ?Acha wauzwe tu labda litakuwa fundisho kwa wengine wanaotaka kutumia njia hizo hizo kwenda ulaya.
watu wanatafuta maisha popote pale duniani! wanaume ameumbwa mateso!
 
"akufukuzaye hakwambii toka"
msemo huu naupinga hawa.

black hawatakiwi sema wanashindwa kujiongeza wanang'ang'ania utafikiri wazawa bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom