nduki km ccm 2015
Hata mm nilinyayaswa sana huko Nzega miaka hiyo katika Shule ya St Bernadeta (Kitongo) nilionewa nilinyanyaswa iko siku na mm nikavimba Jino la mbele tu kwisha kabisa na ikawa heshima. Mpaka leo sijapigana tena wala kudharauliwaIlitokea udogoni, jamaa ananichokoza sana mpaka nyumbani nikaona iswe tabu nikalianzisha.
Ngumi ya kwanza jino la mbele hana, tokea siku hiyo heshima.
Imenikumbusha siku ile kina Rage walivyomtimua yule mchadema kule Dodoma. hapa wamekosa mawe tu maana sare wanazo.