Yamkini Wabunge wa hovyo hovyo watapitishwa ili waingie bungeni kuipeleka ajenda ya Samia for life

Yamkini Wabunge wa hovyo hovyo watapitishwa ili waingie bungeni kuipeleka ajenda ya Samia for life

chararaa

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2025
Posts
1,861
Reaction score
2,881
Huenda Ndicho kinacho sukwa kwa sasa. Mtazinduka mmesha jikojolea tayari.
 
Gombea wewe uwashinde hao unaodai ni wa hovyo hovyo
 
Mkuu samahani lakini..

Naskia mboso.kashatoa vidio ya wimbo wa AVIOLA
.. ule wana imbaa aviola bonge la dada dada dada bonge la dada
 
Bunge lijalo ni hasara kwa Tanzania. Hata sitamani mwanangu aangalie kwa dakika moja maana hana lolote atakalokuwa anajifunza ...maana hata ikija hoja yoyote ya maana hawa wanaopelekwa hawana IQ ya kuweza kujenga hoja maana uwezo wao wa kufikiri na elimu uko too shallow.
Poor Nation
 
Ni kama alichofanya Magufuli 2020 kujaza vilaza kina Babu Tale na wengineo ili kuandaa mazingira ya kutawazwa kuwa Rais wa Maisha, kama Mungu alivyoamua kesi ya Magufuli na ya huyu Mzanzibari pia ataingilia kati
 
Back
Top Bottom