Nimejitahidi kukaa na nywele kwa miezi sita, lengo ni kuzi-maintain ili nywele ziwe ndefu ndo iwe kama style yangu mpya.
Kufikia sasa nimedhamiria kwenda salon kuzinyoa tu maana nimeshindwa kwenda nazo sawa. Changamoto kubwa imekuwa ni zinauma wakati wa Kuchana.
Nipeni ushauri kwa wanaume wenzangu ambao mmeweza kufuga nywele ndefu,mnawezaje kwenda nazo sawa?
Kufikia sasa nimedhamiria kwenda salon kuzinyoa tu maana nimeshindwa kwenda nazo sawa. Changamoto kubwa imekuwa ni zinauma wakati wa Kuchana.
Nipeni ushauri kwa wanaume wenzangu ambao mmeweza kufuga nywele ndefu,mnawezaje kwenda nazo sawa?