Yamenikuta

Yamenikuta

vengu

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
740
Reaction score
535
"umaskini wako na maumbile yako ndivyo vimefanya ushindwe kusimamia shoo" hii ni kauli ya ney aliyenitumia leo asubuhi akinijulisha ya kwamba uhusiano wetu umekwisha rasmi,siumii kuachwa wala umaskini bali haya maumbile ya inch 4.5 yamenikosesha mke...x-mass njema!
 
Hahaha huwa wako hivyo, wakiwa bado wanakupenda, mashine yako husifiwa kuwa ni nzuri na kubwa kuliko zote zilizotangulia awali...siku wanakuacha huwa mashine yako inatangazwa kuwa ndogo na mbaya haijapata kutokea...

Mwisho wa siku huwa hata hatujui kama kweli ni kubwa au ndogo! Kikubwa ni imani kuwa kila mmoja amepewa ya kumtosha
Tena ukubwa na udogo wala hauna maana sana, huwa wanasema,
..if you cant nail the quantity, go for quality..(vice versa is also true)

Songa mbele mkuu, mwaka mpya unauanza ukiwa huru kuliko maelezo, umepewa nafas ya kuchagua tena!
 
Thanx bob lee nafumba macho nasonga mbele
 
mapenzi hayana maumbile wala mshiko huyo kakushoka! mbona 4.5 kitu kinateleza mbaya af kiko faster balaa husikii hata maumivu, yaaan tabu n 5 or 6 unaweza utoke na .....mkononi
 
Songa mbele mkuu ni MAPITO TU hayo!!!
 
Hongera, nakuonea wivu umepata nafasi nyingine ya kupata kitu kingine kipya. Huyu niliyenaye hana hata mpango wa kuniacha. Full mfungwa
 
hawa ndio wanawake bana....hela huna unabwagwa kwa matusi
 
"umaskini wako na maumbile yako ndivyo vimefanya ushindwe kusimamia shoo" hii ni kauli ya ney aliyenitumia leo asubuhi akinijulisha ya kwamba uhusiano wetu umekwisha rasmi,siumii kuachwa wala umaskini bali haya maumbile ya inch 4.5 yamenikosesha mke...x-mass njema!

Pole sana, ni vitu vinavyoumiza moyo but, SHUKURU KWA YOTE.
 
Asanteni wadau woote wa Home of Great Thinkers...bt inaumaaaa!
 
mmmh 4.5 pole asee..
ila hizi zinaharibu, yani inakuwa kama uwanja wa taifa!!!!!
 
Mbona 4.5 inafaa kabisa?? Au kuna tatizo jingine?? Funguka kidogo mkuu


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
daka bimbo mwingine fastaaaaaaaaaaaaaa kwa speed ya fast jet
 
utakufa kijana,wakati michango yako inahitajika jf.huyo jamaa ni mbabe,hata huyo msichana akiachana nae,na akajua ana mtu mwengine hatomuacha hivi hivi.yeye kapendea hela kwa huyo kijana.na wewe ipo siku atakutolea kasoro tu
 
Haijalishi unayo ndefu kiasi gani bali muhimu ni unaitumia vipi.
 
ofcoz mademu ndo walivyo! unapokuwa in love wanakusifu sana na kukuambia kuwa we mkali wa shoo!!
but when love ends, huwa wanatoa kauli kama hizo!! isitoshe wapo mademu wengine hawapendi dudu kuubwa!
So anza mwaka mpya na new Choice!
 
Pa1 man, cha muhimu ni matumizi tu coz kuna watu wengine wana pesa nyingi but maisha
wanayoishi ni magumu kuliko mtu asiye na kitu kabisaa. Anza jimu ya nonino yako tu, inatoshaaa!
 
duh! pole ila ucjali utapata anaekusifia kila cku we nimtam na anaipenda 4.5 yako
 
Back
Top Bottom