Yamenikuta, uchawi kweli upo

Yamenikuta, uchawi kweli upo

Ila uongo mbaya jamaani
Nilifungua biashara ya chakula mbali kidogo na ninapo ishi. Miezi minne ya kwanza biashara ilikuwa ikienda vizuri, hivyo nikajiwekea mipango kadhaa ya kupanua biashara yangu.

Baada ya miezi kama sita hivi akaja mama mmoja kufungua biashara jirani na kwangu, yani frem ya pembeni yangu kabisa. Tukaanza kugawana wateja, hivyo biashara ikawa inasua sua si kama mwanzo.

Baada kama ya miezi miwili toka yule mama afike kila nikifika asubuhi nakuta friji imejizima; vyakula vimeharika, juisi na maziwa vimeharibika pia.

Ile friji nilinunua mpya kabisa, ilibidi nimuite fundi aikague lakini akasema ipo sawa. Cha ajabu, kuanzia asubuhi mpaka jioni tunapokuwepo tukiwasha friji haijizimi, nikasema tujaribu tusiwashe siku nzima kisha usiku tu ndio iwake lakini bado tukirudi friji imezima na vitu vimeharibika.

Kwa bahati mbaya si kil ulichopika watu watanunua na kitaisha, hivyo ilibidi nibadilishe friji lakini hali ikawa ile ile. Nikaweka jenereta lakini wapi

Kipindi hicho wateja sipati kabisa mpaka nikaamua kufunga ile biashara.

Wewe mama wa kimakonde ulichonifanya pale Kawe sokoni sitakusahau, SITAKUSAHAU MILELE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wali kwa mchicha ukila kwa mkono mtamu..sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchawi unatokana na fikra zako mwenyewe jinsi unavyo waza. Kabla hata ya friji kuanza kukusumbua ulishajijengea dhana potofu kua kuna mama anakuchukulia wateja kimazingara

Hivyo kwa dhana hiyo ukajikuta unafanya vitu bila kutafakari mara mbili kwasababu kila jambo ambalo kwako hulielewi ulilihesabu kama ni sehemu ya kurogwa

Majibu ya fundi hayatoshi kuhitimisha kua friji limerogwa. Kwanini hukufikiria kua fundi pengine hana taaluma nzuri yakutosha kuweza kubaini tatizo??

Au fundi hana vifaa vya kisasa vitavyiweza kupima tatizo la hiyo friji?

Mara ngapi hata madaktari ukienda hospitalini unaumwa lakimi ukipimwa wanasema hakuna ugonjwa halafu ukienda sehemu ingine unaambiwa aina ya ugonjwa unao kusumbua?

Kama madaktari wanakosea sembuse fundi friji ndo umuamini kua hakosei na majibu yake aliyokupa ni sahihi?

Nakuhakikishia ukiendelea ku concentrate na dhana ya "kurogwa" utapoteza umakini hadi kufikia hatua unawazidishia watu chenchi na katika hesabu zako utakuta hasara then uanze fitina kua yule mama kaanza kukuwekea chuma ulete

Kuna njia nyingi za kiushindani katika biashara na namna ya kumshawishi mteje. Unaweza ukawa na mtaji mkubwa lakini ukikosa baadhi ya vigezo utasema umerogwa. Na wale ambao utawaona wamefanikiwa utawaita wachawi kitu ambacho sio kweli

Hakuna uchawi kijana, huyo mama angekua mchawi na kwana namna ambavyo tumekua tukisikia sifa zake huyo mama asingekuja hapo kufungua duka. Angeweza kupiga bingo za maana akiwa amelala tu kwake halafu tungemuona hapa kwenye top 3 ya mabilionea
Pole sana mwandishi kwa kupoteza muda wako! Endelea kuamini hivyo sababu hayajakukuta!
 
Uchawi upo ila siyo wa kuamini sana inawezekana friji lako bovu tuu,, na vile vile ukitaka kufanya jambo lolote mtangulize mungu mbele mungu hajawahi kushindwa kabisa amini hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Friji bovu! Mbona mwenzako kaeleza kirefu sana kuhusu kadhia ya friji kujizima lenyewe usiku hadi kupelekea kubadilisha na kuweka jengine, lakini wapi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je una uhakika gani kama umeme ulikuwa uko on usiku wote?labda ulikuwa una katika wakati wa usiku.
 
Uchawi unatokana na fikra zako mwenyewe jinsi unavyo waza. Kabla hata ya friji kuanza kukusumbua ulishajijengea dhana potofu kua kuna mama anakuchukulia wateja kimazingara

Hivyo kwa dhana hiyo ukajikuta unafanya vitu bila kutafakari mara mbili kwasababu kila jambo ambalo kwako hulielewi ulilihesabu kama ni sehemu ya kurogwa

Majibu ya fundi hayatoshi kuhitimisha kua friji limerogwa. Kwanini hukufikiria kua fundi pengine hana taaluma nzuri yakutosha kuweza kubaini tatizo??

Au fundi hana vifaa vya kisasa vitavyoweza kupima tatizo la hiyo friji?

Mara ngapi hata madaktari ukienda hospitalini unaumwa lakini ukipimwa wanasema hakuna ugonjwa halafu ukienda sehemu nyingine unaambiwa aina ya ugonjwa unao kusumbua?

Kama madaktari wanakosea sembuse fundi friji ndo umuamini kua hakosei na majibu yake aliyokupa ni sahihi?

Nakuhakikishia ukiendelea ku concentrate na dhana ya "kurogwa" utapoteza umakini hadi kufikia hatua unawazidishia watu chenchi na katika hesabu zako utakuta hasara then uanze fitina kua yule mama kaanza kukuwekea chuma ulete

Kuna njia nyingi za kiushindani katika biashara na namna ya kumshawishi mteja. Unaweza ukawa na mtaji mkubwa lakini ukikosa baadhi ya vigezo utasema umerogwa. Na wale ambao utawaona wamefanikiwa utawaita wachawi kitu ambacho sio kweli

Hakuna uchawi kijana, huyo mama angekua mchawi na kwanamna ambavyo tumekua tukisikia sifa zake, huyo mama asingekuja hapo kufungua duka. Angeweza kupiga bingo za maana akiwa amelala tu kwake halafu tungemuona hapa kwenye top 3 ya mabilionea
Umeandika vizuri sana mkuu.. You said it all.
Halafu kama huyo mama ni Mchawi halafu kaweza kukuondoka.. kwanini asije kufungua huku Dar pembeni ya Break Point or Rose Garden ili apige hela za kutosha? Kweli nimeamini wajinga ndio waliwao.. Mwache aendee kuamini Uchawi wakati mama anapiga hela
 
Ndio maana mnakanyaga mafuta ya mwamposa kwa sababu ya imani mfu kama hizi!

Oohh nimerogwa! Akuroge nani bhana!

Haya, kakanyage mafuta upokee upako dhidi ya uchawi na majinamizi yanayoandama biashara yako!
 
Nilifungua biashara ya chakula mbali kidogo na ninapo ishi. Miezi minne ya kwanza biashara ilikuwa ikienda vizuri, hivyo nikajiwekea mipango kadhaa ya kupanua biashara yangu.

Baada ya miezi kama sita hivi akaja mama mmoja kufungua biashara jirani na kwangu, yani frem ya pembeni yangu kabisa. Tukaanza kugawana wateja, hivyo biashara ikawa inasua sua si kama mwanzo.

Baada kama ya miezi miwili toka yule mama afike kila nikifika asubuhi nakuta friji imejizima; vyakula vimeharika, juisi na maziwa vimeharibika pia.

Ile friji nilinunua mpya kabisa, ilibidi nimuite fundi aikague lakini akasema ipo sawa. Cha ajabu, kuanzia asubuhi mpaka jioni tunapokuwepo tukiwasha friji haijizimi, nikasema tujaribu tusiwashe siku nzima kisha usiku tu ndio iwake lakini bado tukirudi friji imezima na vitu vimeharibika.

Kwa bahati mbaya si kil ulichopika watu watanunua na kitaisha, hivyo ilibidi nibadilishe friji lakini hali ikawa ile ile. Nikaweka jenereta lakini wapi

Kipindi hicho wateja sipati kabisa mpaka nikaamua kufunga ile biashara.

Wewe mama wa kimakonde ulichonifanya pale Kawe sokoni sitakusahau, SITAKUSAHAU MILELE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo simple tu,
Kuna mtu anacheza umeme usiku ukiondoka. Anapanda hata darini kama lipo ili akuzimie. One day ungelala humo uone.
 
Friji bovu! Mbona mwenzako kaeleza kirefu sana kuhusu kadhia ya friji kujizima lenyewe usiku hadi kupelekea kubadilisha na kuweka jengine, lakini wapi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna swala la kujizima. Ni mtu ana disconnect tu waya usiku then anarudisha alfajir. Huyo mtu aeza kua hata analipwa na huyo mama.

Alternatively angekua anatumia friji la home kwake, yaan vikibaki anaondoka navyo home, asubuhi anarudi navyo. Au zaidi basi awe ananunua kadiri ya matumizi yake, kusiwe na ziada ya kubaki ili kesho aanze fresh.
 
Unachuma dhambi bure tatizo si uchawi.Kwa Tanzania baadhi ya maeneo huwa yanapata umeme mdogo sana ikifika wakati wa jioni kwa sababu matumizi ya umeme yanaongezeka.Kwa mfano mimi ninapokaa ikifika wakati wa jioni 'voltage' huwa inasoma 150 badala ya 220-250 na hii inasababisha baadhi ya vifaa vya umeme kushindwa kufanya kazi na utatuzi wa tatizo hili ni Tanesco kufunga transformer. Vilevile hata jenerata uliloweka inawezekana lilikuwa halitoi umeme unaotosheleza kuwasha firiji.
 
Be rational bro. Itakuwa ni Wahuni tu wanakuzimia umeme mahali usiku halafu asubuhi wanaunganisha hamna uchawi hapo. Fuatilia mfumo wako wa umeme kwenye fremu. Lazima mtakuwa na common wiring somewhere.
 
Mtaalam comrade Mshana Jr can you try to help this 'human'
Let me check my working tools
words-for-witches-necromancy-cauldron-5674-84e7a6a3788f9ff95e49425ed12edd0a@2x.jpg
 
Nilifungua biashara ya chakula mbali kidogo na ninapo ishi. Miezi minne ya kwanza biashara ilikuwa ikienda vizuri, hivyo nikajiwekea mipango kadhaa ya kupanua biashara yangu.

Baada ya miezi kama sita hivi akaja mama mmoja kufungua biashara jirani na kwangu, yani frem ya pembeni yangu kabisa. Tukaanza kugawana wateja, hivyo biashara ikawa inasua sua si kama mwanzo.

Baada kama ya miezi miwili toka yule mama afike kila nikifika asubuhi nakuta friji imejizima; vyakula vimeharika, juisi na maziwa vimeharibika pia.

Ile friji nilinunua mpya kabisa, ilibidi nimuite fundi aikague lakini akasema ipo sawa. Cha ajabu, kuanzia asubuhi mpaka jioni tunapokuwepo tukiwasha friji haijizimi, nikasema tujaribu tusiwashe siku nzima kisha usiku tu ndio iwake lakini bado tukirudi friji imezima na vitu vimeharibika.

Kwa bahati mbaya si kil ulichopika watu watanunua na kitaisha, hivyo ilibidi nibadilishe friji lakini hali ikawa ile ile. Nikaweka jenereta lakini wapi

Kipindi hicho wateja sipati kabisa mpaka nikaamua kufunga ile biashara.

Wewe mama wa kimakonde ulichonifanya pale Kawe sokoni sitakusahau, SITAKUSAHAU MILELE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kanisani kwa maombi kanisa la mchungaji katunzi njia ya mbagala stand yA shamba mi nakwambia uchawi ungekimbia nimeona kwa macho sijasimuliwa biashara zinalogwa sana hata sasa ukienda pale unarudi upya na biashara inasonga...kuna mama waliroga chapati akaja kanisani mbona alipona na wateja walirudi.
 
Uchawi unatokana na fikra zako mwenyewe jinsi unavyo waza. Kabla hata ya friji kuanza kukusumbua ulishajijengea dhana potofu kua kuna mama anakuchukulia wateja kimazingara

Hivyo kwa dhana hiyo ukajikuta unafanya vitu bila kutafakari mara mbili kwasababu kila jambo ambalo kwako hulielewi ulilihesabu kama ni sehemu ya kurogwa

Majibu ya fundi hayatoshi kuhitimisha kua friji limerogwa. Kwanini hukufikiria kua fundi pengine hana taaluma nzuri yakutosha kuweza kubaini tatizo??

Au fundi hana vifaa vya kisasa vitavyoweza kupima tatizo la hiyo friji?

Mara ngapi hata madaktari ukienda hospitalini unaumwa lakini ukipimwa wanasema hakuna ugonjwa halafu ukienda sehemu nyingine unaambiwa aina ya ugonjwa unao kusumbua?

Kama madaktari wanakosea sembuse fundi friji ndo umuamini kua hakosei na majibu yake aliyokupa ni sahihi?

Nakuhakikishia ukiendelea ku concentrate na dhana ya "kurogwa" utapoteza umakini hadi kufikia hatua unawazidishia watu chenchi na katika hesabu zako utakuta hasara then uanze fitina kua yule mama kaanza kukuwekea chuma ulete

Kuna njia nyingi za kiushindani katika biashara na namna ya kumshawishi mteja. Unaweza ukawa na mtaji mkubwa lakini ukikosa baadhi ya vigezo utasema umerogwa. Na wale ambao utawaona wamefanikiwa utawaita wachawi kitu ambacho sio kweli

Hakuna uchawi kijana, huyo mama angekua mchawi na kwanamna ambavyo tumekua tukisikia sifa zake, huyo mama asingekuja hapo kufungua duka. Angeweza kupiga bingo za maana akiwa amelala tu kwake halafu tungemuona hapa kwenye top 3 ya mabilionea
UMEMALIZA MKUU,HESHIMA KWAKO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom