Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

Jamani nashukuru kwa ushauri wenu, japo wengine wanafanya masihara. Usiombe likakupata janga lililo nipata mimi. Mke anauma jamani, we acha tu!
 
Ndoa yako ni ya dini au kimila?? Ndugu, mkeo kufumaniwa mara moja tu tiyari unasikiliza ushauri ati mpige chini?? Tena wengine waliokupa ushauri huo nawajua wake zao na waume wenza wao!! Dah! Hujawa fala hadi ijumaa kweli.
Achana na hao. Mkeo kwanza kiboko mtaa mzima hakuna ka yeye. Saa moja tu, kidume kishapanda cha haraka haraka. Nadhani, mtunze mkeo na kwa aibu alizopata sidhani ka atarudia tena. Sasa ndo umempata mtulivu
 
Nakushauri mrudishe kwao hakuna namna

Kwani aliyefumaniwa naye ni wa kwao?? Jamani, mbona matusi ya kisiri siri? Naye mume akifumaniwa mtamrudisha wapi??
Weye hujawahi kuruka uzio??
 
Kwahiyo mkeo kafumaniwa....Sawa....Na umekuja kuomba ushauri.Uendelee nae au umpe talaka. Mmmh!!!
Kwakuwa imekuwa dhahiri kuwa alifumaniwa. Basi itoshe kuwa sababu ya wewe kuendelea na maisha yako peke yako.
Muache aende.
 
Kwahiyo mkeo kafumaniwa....Sawa....Na umekuja kuomba ushauri.Uendelee nae au umpe talaka. Mmmh!!!
Kwakuwa imekuwa dhahiri kuwa alifumaniwa. Basi itoshe kuwa sababu ya wewe kuendelea na maisha yako peke yako.
Muache aende.
Mpaka hapo si unaona jamaa ki mapenzi hapumui mbele ya huyu mwanamke.
 
Mkuu pole sana kwa mkasa, ila hapo sidhan kama ushauri unahitajika tena ni kuchukua hatua tu maana hadi ushahidi upo sasa hapo unangoja nn? Umuuguze ili akipona aendelee kuiba waume za watu?, mkuu usiwe mpole kama Faru John ambaye upole wake ulisababishwa akauzwa na wajanja huku wakimsingizia kifo
 
Hongera kwanza kwa kumpeleka hospitali, umeonyesha uungwana sana, huwezi kujua ameanza lini hiyo tabia, kapime afya yako, kwanza na ucheck tena baada ya miezi mitatu. Huyu mama agana nae kwa Amani, there are plenty fish in the sea.
Hiyo miezi 3 ya kusubiri kisu chake alaze kwenye ala gani?!
 
Yeye ndio atafute suluhu kwa mwanamke aliyetoka nje ya ndoa?
Ni ngumu kujudge moja kwa moja Mkuu, mambo ya ndoa si ya kukurupuka kumshauri mtu aachane na mwenzi wake.
 
Wanaume wa dar bhana Beby Beby nyingi sasa Hapo umekosa maamuz hata panga la kichwa
 
Lazma wewe utakuwa mwanaume wa dar,

Ingekuwa mwanaume wa mkoani ungekuta anatuletea thread yenye head

News Alerts:

Nimemvunja mke wangu kiuno na sasa hivi nimeshikiliwa na polisi

Jina lako mkuu unaitwa John? Nimemkumbuka Faru John

Kiongozi labda kama polisi binamu zako, ushikiliwe afu bado uingie JF, hakyanani wewe ndo utaangushiwa jumba bovu la jf
 
Mimi kwa jina naitwa John ni mwanaume mwenye umri wa miaka 35. Ninaishi na mke wangu wa ndoa ,na tumejaliwa tumepata watoto wawili,

Siku ya Christmas baada ya chakula cha mchana aliniaga akaniambia anaenda hospital kumuona rafiki yake amelazwa nikamruhusu nikamwambia aende lakini awahi kurudi.

baada ya kupita lisaa moja alirudishwa akiwa hoi na watu wakimzomea nilipotaka kujua amepatwa na nini.!!!nikaambiwa kafumaniwa na mume wa mtu !!!na waliomchakaza hivyo ni wanawake wenzake.

niliishiwa nguvu nikaamua nimpeleke hospital kusema ukweli nimekaa nimeshindwa kupata ufumbuzi naombeni ushauli wenu huyu mwanamke niendelee kuishi nae au nimpe talaka?

Mkuu naomba tufanyie favor, tafadhali tuambie upo wapi, maana sisi wa Dar tushaanza kudharauliwa kisa wewe hapo kushindwa kujua nini cha kufanya baada ya mkeo kwenda kusherekea Xmas SANA guest na family head wa wengine.
 
Hv mwanamke unapataje strength ya kuslp with wanaume wawl leo uyu kesho uyu aya kaumbuka pole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom