MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,826
- 12,470
Ungemkata kibao Cha hatari kinaitwa kwa jina la kelbu.
Halafu ungeona reaction yake
Halafu ungeona reaction yake
Unge mgonga yeye na huyo jini, pumbavu zake, mjeshi hachagui uwanja wa vitaHellow
Niliwai kuleta uzi hapa kuulizia wapemba wapoje
Hii ni wakati wangu kwanza kudate na bint wa kipemba na wakiislamu mtumbue ilo huyu mpemba nilimpata katika mizunguko tukaanzisha mahusiano
Mwanzo aligoma na kusema mpaka nimuoe nikamdanganya basi leo ndio ilikuwa siku ya mzagamua basi tulikutana tukasepa lodge kufika tukaanza piga kwanza story mambo mengi mchezo ukaanza maandalizi
Wakati ndio namuona kalainika pasipo kufahamu kapandisha maji kawa na nguvu gafla sana na kuanza kupiga kelele nilibaki nime tahamaki sina la kufanya nipo tu namuangalia muhudumu alikuja palr ana gonga mlango nikavaa chap nikamruhusu aingie tusaidiane
Ase hii kitu omba isikukute kumbe ana majini sasaiv et anasema nisamehe pale lodge kulikuwa na marashi makali sana sababu amabazo mimi sizielewi nimeamua kublock naona hakuna jambo hapo
Ndio maana nikakimbiachululuuuuu ingebakimo ndanii hahaaaa chezea Jini weyeee
NishamuachaKuna siku yatakuvuta mapmb
Kama ana majini acha nae ....
Mda huo nawaza namkimbiaje uyuUngemkata kibao Cha hatari kinaitwa kwa jina la kelbu.
Halafu ungeona reaction yake
Kabisa ni bahat mbaya ileUna date na waislam wa Nini wewe!!?wakatoliki kibao hivi we jamaa!!?
Wakristo the best hawanaga hizo mambo za majini!!
Ila sio kwajiniUnge mgonga yeye na huyo jini, pumbavu zake, mjeshi hachagui uwanja wa vita
Ndio umemuekea tegoBro hao tuachie sie twawezana sisi kwa sisi pole huenda ulitaka kula mkewangu
Ilishawahi kunitokea 14 yrs ago, niliomba Sala zote. Alipandisha mashetani akasema kwa sauti ya kiume NIACHE NAKWAMBIA 👹👺👺👺Halafu akawa anajipigiza kichwa ukutani mpaka vioo vya madirisha vikawa vinatikisikaHellow
Niliwai kuleta uzi hapa kuulizia wapemba wapoje
Hii ni wakati wangu kwanza kudate na bint wa kipemba na wakiislamu mtumbue ilo huyu mpemba nilimpata katika mizunguko tukaanzisha mahusiano
Mwanzo aligoma na kusema mpaka nimuoe nikamdanganya basi leo ndio ilikuwa siku ya mzagamua basi tulikutana tukasepa lodge kufika tukaanza piga kwanza story mambo mengi mchezo ukaanza maandalizi
Wakati ndio namuona kalainika pasipo kufahamu kapandisha maji kawa na nguvu gafla sana na kuanza kupiga kelele nilibaki nime tahamaki sina la kufanya nipo tu namuangalia muhudumu alikuja palr ana gonga mlango nikavaa chap nikamruhusu aingie tusaidiane
Ase hii kitu omba isikukute kumbe ana majini sasaiv et anasema nisamehe pale lodge kulikuwa na marashi makali sana sababu amabazo mimi sizielewi nimeamua kublock naona hakuna jambo hapo
Na wewe ungepandisha ya Uganga toka Kyela.Acha hii yao kibiko sana
😂😂😂 au sio ningekee na kilugha kabisaNa wewe ungepandisha ya Uganga toka Kyela.
Huyo alishakupimia kutoka mwanzo kuwa una roho ndogo.
Akaona akuletee Zengwe.
Ungemkazia Majin yako yamesema umpe boro.
Unajua kabisa hao hawapatani na ugali mlenda ila wewe ukakomaa na pishi ona sasa 😅 😅Hellow
Niliwai kuleta uzi hapa kuulizia wapemba wapoje
Hii ni wakati wangu kwanza kudate na bint wa kipemba na wakiislamu mtumbue ilo huyu mpemba nilimpata katika mizunguko tukaanzisha mahusiano
Mwanzo aligoma na kusema mpaka nimuoe nikamdanganya basi leo ndio ilikuwa siku ya mzagamua basi tulikutana tukasepa lodge kufika tukaanza piga kwanza story mambo mengi mchezo ukaanza maandalizi
Wakati ndio namuona kalainika pasipo kufahamu kapandisha maji kawa na nguvu gafla sana na kuanza kupiga kelele nilibaki nime tahamaki sina la kufanya nipo tu namuangalia muhudumu alikuja palr ana gonga mlango nikavaa chap nikamruhusu aingie tusaidiane
Ase hii kitu omba isikukute kumbe ana majini sasaiv et anasema nisamehe pale lodge kulikuwa na marashi makali sana sababu amabazo mimi sizielewi nimeamua kublock naona hakuna jambo hapo
Yamenitokea puani kabisa 😂😂Unajua kabisa hao hawapatani na ugali mlenda ila wewe ukakomaa na pishi ona sasa 😅 😅
😅Nimecheka balaaChipsi kala Mapepo tulii.
Soda kanywa Mapepo tulii.
Muda wa Miti Mapepo Full charge, ***** wapemba wana intelijensia Kali Sana.😂😂
😂😂😂 au sio ningekee na kilugha kabisa
Kweli boss
Usubirie hicho kichwa kuumuka kama dunia mkuu😀😀