Yamenikuta na mpemba huyu

Yamenikuta na mpemba huyu

Ukiskia nyota, bahati, mkono wa pesa fungu la kupata na mengine ya ufanano huo toka nduki hapo hamna wife bora tubanane huku kwa kina binti wa mzee kufakunoga tujipatie yutiai sugu
Mwanamke kiganja kimejaa mipete Kama Migos.

Nnae mmoja ye hata akijikwaa utaskia Hamniwezi.
Kichwa kinawaza visomo.

Room kwake na kwa mganga Hakuna tofauti maudi yanachomwa daily.
 
Mahala flani nilipewa jina la Shariffu Majini baada ya kumtuliza Binti alokua na matatizo ya mapepo kwa mshedede
 
Back
Top Bottom