Haaaaaaaaaaaa kumbe mchepukajiii haaaaaaa mtafteni apate haki yakeeHakuna tusikofika kwenye hii dunia.
Seheme pekee ni kuzimu.
Nilikuambia Achana na Mume wa Dada yangu ukajitia mtoto wa mjini.
Ati mtoto kutoka Kanda ya ziwa ngoja tukuonyeshe watoto kutoka baharini tukoje. Kenge wewe.
Nakuhakikishia Hutatoka katika mipaka yetu. Ukifanya mambo yako ulidhani hauonekani. Tukaja tukakuonya ukatuona malofa. Hiyo ni Vuli subiri masika.
Haaaaaaaaaaaa kumbe mchepukajiii haaaaaaa mtafteni apate haki yakee
Nimewaza hivyo pia 😃😃Mlikuwa mnaiba mafuta ajalini?
Unajiombea huruma kwa ajili yako mwenyewe kwenye msiba wa wengi, si ubinafsi huo?
Ila roho mbaya hiyo..humu wanaume wote tunashirikiana tu.Yeye si bingwa wa kuvuruga ndoa za watu. Sasa amefanya Wrong turn 5.
Katika hili hakuna wa kumsaidia chini ya jua. Hata huko angani ameshaharibu. Tumeshapeleka mashtaka.
Atatafutwa angle zote
Nimewaza hivyo pia 😃😃
Vipi mkuu umemsema mkulu kwenye group la wasapu nini? ngoja aione mzigua maana kwenye ule uzi wa matajiri wa moshi mlirukiana balaa, politics kwa tz ni hatari sanaHabari za usiku
Kweli usilolijua ni usiku wa Giza
And when it rains it pours
Yamenikuta mwenzenu
Toka last week sina raha
Saivi nahangaikia passport niende zangu south ama Botswana
Kweli hujafa hujaumbika
Anyway nitasimama tena Mungu ni mwema
Nb:nahitaj faraja zenu kashfa zenu ziwekeni pembeni kwa leo.Nioneeni huruma ndugu yenu.
Jamani 😀😀😀Huyu atakuwa mama Nasma, kafumaniwa na baba Nasma akiwa na fundi wa makochi ? 🤔
Hakuna tusikofika kwenye hii dunia.
Seheme pekee ni kuzimu.
Nilikuambia Achana na Mume wa Dada yangu ukajitia mtoto wa mjini.
Ati mtoto kutoka Kanda ya ziwa ngoja tukuonyeshe watoto kutoka baharini tukoje. Kenge wewe.
Nakuhakikishia Hutatoka katika mipaka yetu. Ukifanya mambo yako ulidhani hauonekani. Tukaja tukakuonya ukatuona malofa. Hiyo ni Vuli subiri masika.
Huyu dada alikuwa anajiona balaaPole sana dada, maisha yana mapito mengi.
Japo kwa comments zako huwa upo arrogant sana.
Natamani kukuonea huruma ila sijui nikuonee kwa lipi maana hujaeleza kua specific kama Article "The"
Yapi hayooHilo mbona dogo yaliyomkuta jiran yangu usiombe yakukute
Haya........poleSiwezi kuwa specific ndugu,hali bado Tete
Ila maisha haya,siasa zinatuangamiza watanzania,mtego wa panya unadaka hata asiyehusika
Nipe pole tu ndugu yangu.
Teh teh teh teh nacheka kirenoDuh aiseee
ThanksPole sana dada, maisha yana mapito mengi.
Japo kwa comments zako huwa upo arrogant sana.