dracular
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 737
- 1,036
Habarini za majukumu ndugu zangu.
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana na sijui la kufanya ni nini.
Nina mchumba wangu ambae tunapendana sana ila kutokana na nature ya majukumu yangu hatukuweza kuonana nae kwa almost miezi 9, so katika harakati zangu za kupunguza genye nikapata demu ambae wote kwa pamoja tulikubaliana kupunguza genye na wala hatukuwa na malengo yoyote kati yetu.
Wiki mbili zilizopita tukapiga game yetu ya mwisho maana mchumba wangu anatarajia kuja huku siku ya kesho kutwa yaani Jumanne.
Jamani huyu bi dada kapata mimba so mchumba wangu nitamwambia nini?? Huyu bi dada ni single mother wa watoto wawili na tulichukua tahadhari zote za kuepuka mimba lakini bado kapata tu. Sikumwaga ndani yeye anahisi huenda sikujifuta vizuri wakati napiga round ya pili.
Ndugu zangu naombeni ushauri mchumba wangu anakuja keshokutwa na tupo kwenye mchakatato wa kuoana so nifanyaje kui solve hii issue?
Nisaidieni kwa ushauri angalau 🙏
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana na sijui la kufanya ni nini.
Nina mchumba wangu ambae tunapendana sana ila kutokana na nature ya majukumu yangu hatukuweza kuonana nae kwa almost miezi 9, so katika harakati zangu za kupunguza genye nikapata demu ambae wote kwa pamoja tulikubaliana kupunguza genye na wala hatukuwa na malengo yoyote kati yetu.
Wiki mbili zilizopita tukapiga game yetu ya mwisho maana mchumba wangu anatarajia kuja huku siku ya kesho kutwa yaani Jumanne.
Jamani huyu bi dada kapata mimba so mchumba wangu nitamwambia nini?? Huyu bi dada ni single mother wa watoto wawili na tulichukua tahadhari zote za kuepuka mimba lakini bado kapata tu. Sikumwaga ndani yeye anahisi huenda sikujifuta vizuri wakati napiga round ya pili.
Ndugu zangu naombeni ushauri mchumba wangu anakuja keshokutwa na tupo kwenye mchakatato wa kuoana so nifanyaje kui solve hii issue?
Nisaidieni kwa ushauri angalau 🙏