Yamenikuta, msaada tafadhali

Hahaha....kupigwa cha mbavu na msichana uliemgo.nga ni fedhea sana
 
You are a smart guy judging from from this super insight
 
Kinachokuuma zaidi ni kufikiri kwanini kakuacha ghafla ivyo....
Mapenzi ya walio wengi siku hizi ni "timing", "usipo niacha nakuacha"
 



Duh ht ckuoni
Hope u a gud!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa,we c uachane nae mkuu,shida iko wapi,kama kuonja c ushaonjeshwaaa
 
Leta details zake usaidiwe. Ni wa dar? Elimu yake, mmekutana wapi, anajishughulisha na nini
 
Unampenda kitu gan acha uongo, mchezo mara moja tu umepagawa je kama angepitisha round ya pili. kwanza inaonekana hujamkosha alitegemea kapata mchezaji kumbe kanjanja, nakushaur temana naye
 
Unampenda kitu gan acha uongo, mchezo mara moja tu umepagawa je kama angepitisha round ya pili. kwanza inaonekana hujamkosha alitegemea kapata mchezaji kumbe kanjanja, nakushaur temana naye

Thanks kwa ushauri mkuu
 
Nimeshajiangalia mkuu Sina kasoro yoyote labda kwa sababu sijawahi kumpa hata senti tano yangu.

Kumbe sababu unyotayar umpige usk mzm bure kweli yuko sawa kbs ht kwa mganga nilivyoshaur usiende tena ww tuma hela tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…